Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na...
SuperGro ni mbolea ya kioevu ya kioevu ya 100%, ambayo imetengenezwa kutoka kwa kinyesi cha kuku na guano ya ndege wa baharini. Kufanywa kutoka kwa vitu vya kikaboni bila kemikali kabisa...
Wana Jf,
Ninahitaji mtaalam ambaye anauwezo wa kukata miti iliyooitiliza urefu pembeni ya nyumba mi ashoki imekuwa mirefu unajua iko pembeni ya nyumba inahitaji utaalam naomba mwenye ujuzi huo...
Wadau nauza MackBook Pro 13, M1 Chip
RAM 8 GB
SSD 512
Kwa maelezo check kupitia Model No. A2338.nilinunua Dec 14 na mpaka Sasa sijaitumia zaidi ya wiki.
Bei yake istore mlimani ni 5150,000
Nipe...
Hello , natumai mu wazima, please naomba yeyote anaejua msusi mzuri sana wa yeboyebo kwa Dar es salaam naomba aniconnect nae.
Binafsi huwa ninasuka Jose saloon ya Mwenge, but kwa Sasa wapo likizo...
Tunajihusisha na ushonaji wa nguo za watoto za kisasa zinazoweza kuvaliwa katika sherehe mbalimbali kama vile sherehe za kuzaliwa,kipaimara,Komonio,harusi (flower girls) n.k Tupo Dar es...
Kiwanja kizuri kinauzwa Mwongozo, Kigamboni karibu na nyumba za NSSF na NHC.
PLOT DETAILS
Plot no: 336, kinayo hati ya miaka 99 (attached)
Location: Mwongozo, Kigamboni; Karibu na nymba za NSSF...
Tunauza vibubu vya kisasa kabisa.
BEI TSHS 37,000
Piga 0744033555 kwa mahitaji.
Tupo Dar magomeni Kagera
Vina password maalum za kufungulia/kufunga
Vinatumia battery 3 za size ya kati
Vipo vya...
Karibu Ujipatie Mabati Bora yanayodumu kwa bei poa ya punguzo kubwa.
Tunapatikana Buguruni Chama Dar es salaam
Tupigie simu[emoji338][emoji390]0623 160 404
[emoji338][emoji390]0758 293 587
A. Viwanja vimepimwa vipo Kibaha Visiga
3 kilometers kutoka Morogoro road.
UMEME na MAJI vipo
Barabara inayopotika bila tatizo hadi kwenye viwanja
Bei ni 3 million kwa kiwanja cha sqm 400...
Habari wakuu,
Najiandaa kusajili medicated soap TMDA, kuna document ya certificate of analysis wanahitaji. Ni maabara ipi naweza fanya parameter test?
Naomba msaada kwa namba
0713- 039 875
Habari,
Ninauza chupi za kike kwa bei ya jumla.
Kwa wakazi wa Dar kuna delivery na kwa wa mikoani unatumiwa.
Chupi za cotton 30,000 kwa dozen
Chupi nyepesi 25,000 kwa Dozen.
Mawasiliano...
Gari Aina ya Toyota IST bei milioni kumi na moja.
Rechargeable wall fan size 18 inch 120,000.
16inch 100,000.
Sitting room furniture, coffee table,TV showcase and the cabinet 650,000
Side lamp...
Viwanja vipo chanika mvuti manispaa ya ilala dar es salaam:+255 6 28 00 82 18
Kwa tshg million 1,000,000/=
Ukubwa wa eneo mita 15 kwa 15
Wahi mteja vimebaki vichache sana kwa mhitaji piga...
Iwe kati ya IST, Vitz, Raum, Spacio au yyte engine za vvti cc isizidi 1490
Iliotunzwa vzr namba C na D tuu.
Ofer 4M-7 M
Ishu iko silias
IST itapewa kipaumbele
Staki msururu wa madalali
NB bei...