Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Location: Mwanza Price: Milioni 8.5 Make: TOYOTA Model: SPACIO Mileage: Low Engine: 1490cc,1nz vvti Condition: Excellent Call/WhatsApp: 0784399081/ 0754405179
0 Reactions
3 Replies
1K Views
FAM Inatafutwa sehemu inayofaa kwa Tuition Center. Maeneo ya Mbagala DSM kuanzia: A) Mbagala Mission mpaka Mbagala Mzinga B) Mbagala Rangitatu hadi Charambe kwa Mbiku. Sehemu yoyote iliyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilinunua radio ( home cinema) zamani kidogo kwenye mwaka 2007/9 kupitia ndugu yangu aliyekuwepo Africa ya kusini na kuileta hapa nyumbani. Bahati mbaya vibaka walivunja na kuiba hiyo radio na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya. Printing ya hii kitu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi. Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari ya majukumu? Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu, zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti, ili kubaini noti halali na noti feki...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Brand-Sony Model 55XD8599 Smart 4K YOM 2017 Used in clean condition Bei 1.4m 0715877076
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Gari aina ya TOYOTA IST Inauzwa Inapatikana Mwanza Bbei ni million 9. Maelewano yapo wasiliana 0755213580.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wapi zinapatikana perfume za kupima (oil) kwa bei ya jumla zikiwa namna hii?
1 Reactions
9 Replies
5K Views
sisi ni waandaaji wasimizi na watoa huduma katika shughuli mbali mbali kama vile sherehe, send off, kitchen part, vikao, mikutano, misiba, birthday party, nk Pia tunatoa huduma kama vile muziki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunatengeneza bustani nzuri na za kuvutia kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya nyumbani kwako na hata ofisini kwako.Tunapatikana Tegeta, Dar es Salaam na mikoani pia tunafika, kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello! Habari wandugu kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza. Bajeti yangu 60,000 to 70,000. Asante.
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Huduma nzuri na bora ya kutengeneza, kudariz na kuchapa logo/nembo kwenye t-shirts na shirts kwaajili ya wafanyakazi/wanafunzi na matukio mbalimbali. BEI; Kudarizi ni sh 13,000@ pamoja na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Samsung Galaxy A51 128GB Bei: 720,000 Simu zipo sealed na zina warranty ya Samsung miaka miwili. Napatikana DSM, unaweza kuja dukani au kufanyiwa delivery au kutumiwa kama upo nje ya DSM. Contact...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba muongozo wa Bei na kulipata pool table
0 Reactions
11 Replies
16K Views
Infinix note 7 lite Ram 4GB Rom 64GB Network 2G 3G 4G Battery mah 5000 Camera nyuma mp 48 Camera mbele mp 8 Haina kipengele 0689866829 Dar gongolamboto
0 Reactions
4 Replies
849 Views
Wakuu salaam sana .nauza Miche ya migomba kuna mzuzu,mkono wa tembo,mtwike,ndizi bukoba,kisukari bei @3000 Miche IPO mingi wahi 0755404226. Kiluvya dsm
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Ndugu wana jamii forum. Naomba mwenye uzoefu wa tank zuri la kuhifadhia maji (Domestic use ) anielezee hapa nayaona mengi kama vile. Kiboko, Simtank NK.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…