FAM
Inatafutwa sehemu inayofaa kwa Tuition Center.
Maeneo ya Mbagala DSM kuanzia:
A) Mbagala Mission mpaka Mbagala Mzinga
B) Mbagala Rangitatu hadi Charambe kwa Mbiku.
Sehemu yoyote iliyo...
Nilinunua radio ( home cinema) zamani kidogo kwenye mwaka 2007/9 kupitia ndugu yangu aliyekuwepo Africa ya kusini na kuileta hapa nyumbani.
Bahati mbaya vibaka walivunja na kuiba hiyo radio na...
Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti
NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya.
Printing ya hii kitu
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji...
Wakuu habari ya majukumu?
Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu, zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti, ili kubaini noti halali na noti feki...
sisi ni waandaaji wasimizi na watoa huduma katika shughuli mbali mbali kama vile sherehe, send off, kitchen part, vikao, mikutano, misiba, birthday party, nk
Pia tunatoa huduma kama vile muziki...
Tunatengeneza bustani nzuri na za kuvutia kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya nyumbani kwako na hata ofisini kwako.Tunapatikana Tegeta, Dar es Salaam na mikoani pia tunafika, kwa mawasiliano...
Huduma nzuri na bora ya kutengeneza, kudariz na kuchapa logo/nembo kwenye t-shirts na shirts kwaajili ya wafanyakazi/wanafunzi na matukio mbalimbali.
BEI; Kudarizi ni sh 13,000@ pamoja na...
Samsung Galaxy A51
128GB
Bei: 720,000
Simu zipo sealed na zina warranty ya Samsung miaka miwili.
Napatikana DSM, unaweza kuja dukani au kufanyiwa delivery au kutumiwa kama upo nje ya DSM.
Contact...
Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog...
Infinix note 7 lite
Ram 4GB
Rom 64GB
Network 2G 3G 4G
Battery mah 5000
Camera nyuma mp 48
Camera mbele mp 8
Haina kipengele
0689866829
Dar gongolamboto
Wakuu salaam sana .nauza Miche ya migomba kuna mzuzu,mkono wa tembo,mtwike,ndizi bukoba,kisukari bei @3000 Miche IPO mingi wahi
0755404226. Kiluvya dsm
Ndugu wana jamii forum.
Naomba mwenye uzoefu wa tank zuri la kuhifadhia maji (Domestic use ) anielezee hapa nayaona mengi kama vile.
Kiboko, Simtank NK.