Wakuu habari
Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return.
Karibuni. Documents zote zipo.
Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
Wakuu habari,
Nahitaji tent la kukodisha kwa kesho siku moja tu. Tent dogo la kawaida futi saba mahali ya tukio ni makumbusho sayansi tuwasiliane kwa namba 0757 563328 tafadhali.
Kwa yoyote...
Habari.
Natafuta deep flayer inayotumia umeme kwaajili ya kuchoea chips, iwe na plate mbili.
Njoo na offer yako.
Mawasiliano: 0743-451-357 call/sms/WhatsApp/PM
Nauza kiwanja kipo Miganga West Dodoma Mjini kiwanja kina huduma zote za msingi kama barabara maji na umeme kimepimwa na kina documents ukubwa wa kiwanja ni sqm 450 bei ya kuuza milioni 6...
Salaam Wakuu,
Natafuta fundi wa form work, ninakaproject kangu kadogo, inaweza ikawa ni kazi ya siku tatu hadi nne, Ninalipa sh.40,000 kwa Siku, kazi ipo maeneo ya Kinyerezi mwisho.
Kama upo...
Kuku "vijogoo wa nyama" wanauzwa kwa ajili ya kufugwa. Wana wiki 6. Wanapatikana Kibamba, Dar es Salaam. Wapo 300. Bei ni 6000 kwa kila mmoja. Piga 0715066185 au 0753066185 kwa maelezo na maelekezo.
Nyerere National Park Itinerary
Early Morning at 4am, you will be picked from your hotel in Dar es salaam and after a short safari briefing from the guide, drive to Nyerere national park for...
Viwanja vinauzwa kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya kigamboni college
1. Umbali kutoka ferry mpk site ni killometer 23
2. Viwanja vimepimwa ila vipo katika michakato ya hati kwahy...
Toyota Noah SR 50, Auto Transmission ya mwaka 1999 inauzwa,
Engine bomba haijawahi kuguswa,inatembea kama kawaida
Ipo Dodoma,vibali ndio vimeisha maana ipo parking muda mrefu haitumiki
Bei...
Wakuuu naombeni msaada wenu kwa hali yoyote nipo tayari kuingia gharama ikiwezekana,nilikuwa na dula la vinywaji vikali maeneo ya kinondoni ila bahati mbaya sijui mchezo ulifanyika na muuzaji...
Habari za muda huu.
Napenda kuwakaribisha katika huduma yetu ya kuweka movies na series, huduma hii ni Mobile(Inayotembea)
Kwa wakazi wa kigamboni, free derivary. Movie na Series zetu zipo...
Leo nachukuwa fursa hii kuwa karibisha wadau na wapenzi wa UGALI na NYAM CHOMA (T-BONE STEAK) katika mgaha wetu pale NAMANGA,MSASANI, dakika 1 kutoka kituo cha Namanga.
Ugali : 500
Nyama : 3000...
Hii ni sabuni iliyotengezwa kwa maziwa na asali. Kazi yake ni kuweka ngozi kuwa nyororo na inatakatisha ngozi kwa haraka. Inauzwa elf 8 t.
Na hii ni sabuni ya aina yake yenye harufu nzury na ya...
Kiwanja kinauzwa,kipo Mabwepande (Bar Mpya), km 4 toka Bagamoyo Road Bunju,
Kina Sqm 447,
Kina Hati (Title Deed).
Bei ni Tshs.14,000,000.
Kwa maongezi piga simu namba 0677089280.
Twende Mlima Hanang Siku 3.
Tarehe : 25th-27th,June,2021
Garama: 250,000Tsh
Mwisho wa Kulipia: 20th
Inajumlisha:
Chakula
Malazi
Viingilio
Usafiri kwenda na kurudi
Muongoza Njia
Kufanya Booking...
Uwanja unauzwa upo Dar es salaaam chamazi machimbo kwenye bomba la Gesi.Bei mill 7 kipo sehem mzuri pia pamejengwa mi nimebaki katikati kwa anaehitaji namba ya simu 0767124704