Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJF Nahitaji muongozo kama kuna mahali wananunua pete yenye kito cha Tanzanite niende nikauze yangu Natanguliza shukrani [emoji120]
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Epson Projector Bei Tsh 450,000/- Zimetumika Uingereza lakin zipo kwenye hali nzuri New Lamp installed Zinafaa kuoneshea mpira au makanisani au ukumbini kwenye sherehe Zinatoa picha kubwa...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Msaada naomba kujua chimbo la waleti za ngozi, pochi mikoba au mabegi ya kina mama ya mtumba kwa Dar.
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju B Sokoni 80m/=. Kina title deed, 890 Square Meters, master, vyumba 3 vya kwaida, public toilet, garage, karibu na soko na barabara kuu ya Bagamoyo. Bunju Mzee...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Sanaa nzuri kabisaa toka kwa Kijana mzalendo kabisa wa kitanzania Mwamba Tanzania, shujaa wa Afrika na Rais wa karne Endelea kupumzika kwa amani President John Pombe Magufuli 🕊🙏
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wadau wa kilimo kwa hapa nchini ni maeneo gani naweza kupata maeneo yanayouzwa kwa bei ndogo namaanisha heka kwa laki moja
1 Reactions
64 Replies
16K Views
Nahitaji kujua bei hii perfume maana inasifika sana na baadhi ya watumiaji. Nawasilisha #fightingTemptation
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Tunakupa kilicho bora kwaajili ya biashara yako. Tangaza biashara yako kwa kupata LOGO mpya, nzuri na yenye muonekano mzuri. Tunaprint/kudarizi kwenye Kofia/T-shirts/Shirts n.k kwaajili ya...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Indriver ni app bora kuwahi kutokea katika teknolojia ya usafiri nchini Tanzania kwa sababu zifuatazo:- 1). Abiria anapendekeza bei ya safari kulingana na uwezo wa mfuko wake na Inatoa mwanya wa...
10 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani Wana JF naombeni msaada kwa wanaoagiza nguo nje ya nchi au connection nahitaji kuagiza nguo za kike. Nianze biashara.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunauza na kurekebisha vifaa vya kufanyia kazi kwenye karakana na kiwandani. Kwa wamiliki wa karakana, kiwanda kidogo na kikubwa ,Sasa unaweza kupata vifaa vinavyodumu kwa bei rafiki kutoka...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Vibao vya tofali kutoka Mufindi. Vinapatikana kwa bei nafuu kwa Dar na Dodoma. Piga simu no. 0758 597106
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi? SALE SALE SALE Sofa la mmoja ni 30000 Sofa la wawili ni 44,000 Sofa la watatu ni 54,000 ●Tuma...
1 Reactions
70 Replies
15K Views
Tigo mobile WiFi, inaunganisha simu hata laptops, Nauza 40k Niko Mbezi Africana 0655374238
1 Reactions
2 Replies
634 Views
Nyumba inapangishwa KIMARA - KOROGWE Umbali Mita 200 kutoka Morogoro Road (kituo cha mwendokasi) Ina- SEBULE, JIKO, CHOO, VYUMBA VIWILI VYAKULALA ( kimoja masta) Parking ya gari ipo ndanya fence...
1 Reactions
1 Replies
876 Views
Hii ni kwa wauzaji wa vifaa vya simu na mafundi wanaotengeneza simu. Jipatie usb na charger kwa bei ya jumla. Nina usb hizi original za Nokia ninauza sh. 5000(rejareja) Ukichukuwa nyingi napunguza...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu, Natafuta eneno ambalo ni mita chache toka ufukweni. Sehemu ambayo nitaweza kujenga nyumba ya makazi. Budget yangu ni kati ya Milioni 12 mpaka milioni 30. Hii itategemea na sehemu...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta mfugaji, anae uza mayai ya kisasa, kwa bei ya jumla, Mimi nipo Dar, Kimara. Nicheki WhatsApp 0654171555
1 Reactions
1 Replies
968 Views
Upana mita 1.5 kila moja. Deliveries zipo kwa Dar na mikoani natuma pia. Ukihitaji nipigie au nicheki WhatsApp 0685269533.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Tumekuja na bidhaa bora na za bei rahisi tunapatikana tabata. Causal leser bench Kwa matumizi ya ofisini, chumbani, sebuleni, dinning. Bei 150,000 bila mito Mto mmoja 20,000 Zulia 15,000 0767...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…