Kwa wanaohitaji Iliki kutoka Morogoro maeneo ya Matombo ninazo nyingi huku zaidi yabTani 1 na hivyo nauza kila Kilo 1 kwa kiasi cha sh.31,000(elfu thelathini na moja) tu.
Kwa anaye hitaji anicheki...
Hii mashine ni nzuri saana ni mitungi mitatu ima nguvu saana yaan ndani ya dakika moja ishaweka mabarafu kama ukiwa hujawwka juice bado kila mtungi unabeba lita 18...kwa hiyo jumla inabeba lita...
Naitwa Daniel Aloyce Daniel, nipo karatu, mkoa wa Arusha, mnaonaje Wana jamii forums mkiniungisha.
Najihusisha na pipi za Jumla, ambapo nawauzia watu wa reja reja mkauze. Mfano hii pipi hapo...
These beautiful villas are ideally located near the Stanbic Bank Head Office, offering an unbeatable combination of convenience, comfort, and tranquility. The neighborhood is peaceful...
We are looking for Joint Venture Investor.
Plot location: Kimweri Rd, Near Capetown Fish Market, Msasani.
Plot Size: SQM 533.
Title Deed available.
Reallocation and Agent commission fees applies...
Hii ndio komesho la samsung na iphone.
Uwezo wa battery ni 6000.
Kamera ni super quality ukubwa
Huyu 0neplus 13 front camera ni 32MP , wakati iphone 13 na samsung s25 ina 12MP,yaani amempiku...
[emoji95]NAUZA KIWANJA KILUVYA GOGONI[emoji95]
ENEO LINA UKUBWA WA MITA 30 KWA 18 ,UMBALI TOKA STAND NI MITA 800 TU ,BARABARA ,MAJI NA UMEME VIPO
BEI NI [emoji383]12MILLIONS...
Habari wadau.
Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe...
Samsung Galaxy A32
GB 128
Ram 4
Sim Mpya Kabisa
Aimjui Fundi
Bei 240
Maongezi yapo Kidogo
Pia Nafanya Exchange Na
Samsung A15 TU BASI
Piga sim chapu 0612323330
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji muwekezaji au mnunuzi WA mgodi, mgodi huu umefanyiwa drilling hivyo sample na majibu ya sample vyote vipo. Alie na connection anitafute DM
INALENGESHWA Ama Kweli Njaa-Nuary Ni Sawa Na Kaburi Lisilokuwa Na Mchanga
Bei/Price TSH 18.5M
Call +255 747 999 927
TOYOTA HARRIER
Year: 2003
Engine: 2360Cc
Mileage: 72,000+
Transmission...
Bei/Price TSH 17.5M
Call+255 747 999 927
TOYOTA iSt
Year: 2004
Engine: 1290Cc
Mileage: 44,000+
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
2-SRS Airbags
Clean Interior
In Good Condition
Exchange...
Bei/Price TSH 25M
Call+255 747 999 927
TOYOTA LAND CRUISER
Year: 1992
Engine: 1HZ
Mileage: 150K
Transmission: MANUAL
Bull Bar
New Tyres
Leather Seats
Clean Interior
In Good Condition
Exchange...
Kwa yule atakaehitaji machine ya Treadmill kwaajili ya kufanya mazoezi ya kukimbia na kutembea anicheki. Tangu ninunue ina miezi miwili2 ya kutumika.
Sifa:
1. Inatumia umeme
2. Kg 110
3. Dukani...
YAS 5G UNLIMITED CPE 🛜🇹🇿
Sasa ni Kwa Tshs. 250,000/= tu!
Unajipatia Leo,
Kifaa bora na mahsusi kwa watumiaji wote wakubwa wa Data/Internet nchini Tanzania,
Inaweza kutumika sehemu zifuatazo:-...
Wakuu, nimepatwa na shida ya ghafla, sana, mwanangu anaumwa, na hapa nilipo sina namna tofauti na kuuza simu yang.
Samsung S10 PLUS..
Gb 128
Ram 8
PRICE 280,000.
Location: Ubungo Riverside...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.