Wadau,
Ninataka kununua sound proof kwa ajili ya studio nahitaji maelekezo kama kuna mdau humu ndani anauza kitu kama hiyo nitafurahi sana. Wengine wanaita acoustic material, aina yoyote...
Wataalamu nisaidieni nikitaka kujenga ukumbi sound proof ambamo hata upige yowe vipi Sauti isitoke nje nitumie material gani na je hizo material zinapatikana Tanzania na zinapatikana wapi ni za...
Habari wakuu wale wazee wa maofisini ambao kila gazeti lazima mnunue, usilimbikize gazeti ulizosoma ofisini, ninanunua Gazeti used kwa kilo moja shilingi elfu moja 1000/TZ SH.
Hata kama una kilo...
Habari wana jukwaa,
Hii ni Mara ya Tatu naleta threads yangu ya TANGAZO la biashara
Cha kushangaza kila nikiweka TANGAZO wanafuta
Naomba kujua
Hii ni biashara haramu?
Nini nimekiuka kwenye hili...
ANC ASSOCIATES is a Certified Public Accountants in Public Practice Firm registered by the National Board of Accountants and Auditors of Tanzania (NBAA) as Audit and Accounting firm and issued...
Viwanja KIBAHA - PANGANI - Lumumba Street.
-Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-Mradi upo kilomita chache kutoka Loliondo Stand na kwa njia nyingine waweza pitia Kibamba Shule.
-Ni sehemu nzuri...
Habarini, nauza fremu kubwa, nzuri ya biashara ipo Tabata Segerea mwisho opposite na stand ya daladala tsh 12.5 Milioni.
Sifa zake:
Imelipiwa kodi ya mwaka mmoja hadi September 2022.
Kwa bei...
Habari!!
Kiwanja kinauzwa kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya cha kigamboni kimebaki kimoja
mitaa 35 kwa 35 bei ni million 4.5 (4,500,000)
kutoka ferr mpk kona ya chuo ni km 22...
NAHITAJI NAME TAG
Natumai ni wazima wa Afya, kwa wagonjwa Allah awape uzima.
Ndugu zanguni nina shida kubwa sana , nahitaji kununua "Name Tag"
Yoyote anaweza kunisaidia wapi nitapata naomba...
Habari wanajukwaa!
Kama kichwa kinavyojieleza.niko mwanza nahitaji creti zikiwa na chupa zake tupu Kati ya 150-200.
Ofa tutaongea Mana biashara ni maelewano
Chumba Choo ndani (Masta) na Sebule.
Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu.
Mahali: Mbezibeach Makonde
Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000
Maelezo Zaidi: 0716442950
Our company was founded in January, 2019 on the principle of warm, friendly, and efficient service. Our staff knows how to get the job done, and we often exceed the expectations of our clients. We...
Natafuta gari kati ya aina ya corola (toleo lolote zile old model), toyota duet, carina old model, vitz zile za zamani au aina yoyote ile namba A, B au C itakayokua ya bei rahisi (3-2 mil), kwa...