Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, Ninataka kununua sound proof kwa ajili ya studio nahitaji maelekezo kama kuna mdau humu ndani anauza kitu kama hiyo nitafurahi sana. Wengine wanaita acoustic material, aina yoyote...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Wataalamu nisaidieni nikitaka kujenga ukumbi sound proof ambamo hata upige yowe vipi Sauti isitoke nje nitumie material gani na je hizo material zinapatikana Tanzania na zinapatikana wapi ni za...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu wale wazee wa maofisini ambao kila gazeti lazima mnunue, usilimbikize gazeti ulizosoma ofisini, ninanunua Gazeti used kwa kilo moja shilingi elfu moja 1000/TZ SH. Hata kama una kilo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa, Hii ni Mara ya Tatu naleta threads yangu ya TANGAZO la biashara Cha kushangaza kila nikiweka TANGAZO wanafuta Naomba kujua Hii ni biashara haramu? Nini nimekiuka kwenye hili...
4 Reactions
24 Replies
6K Views
ANC ASSOCIATES is a Certified Public Accountants in Public Practice Firm registered by the National Board of Accountants and Auditors of Tanzania (NBAA) as Audit and Accounting firm and issued...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza hizi mashine za Stationary..chagua unayoipenda hapo..njoo na ofa yako nzuri kabisa ..tuafikiane uchukue bidhaa.. NB. Zimeharibika hazifanyi kazi..ila unaweza ukazirekebisha zikapiga mzigo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari Natafuta mayai kisasa kwa bei ya jumla.. Nipo kimara, DSM Cont: 0745098591
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Model: Panasonic Ina access, CD/DVD, flash, SD card Unafanya kazi vizuri (good conditions) Location: dar WAT: 146 Bei: 400,000/ tzs Mobile: 0785 857564
3 Reactions
22 Replies
5K Views
Viwanja KIBAHA - PANGANI - Lumumba Street. -Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana. -Mradi upo kilomita chache kutoka Loliondo Stand na kwa njia nyingine waweza pitia Kibamba Shule. -Ni sehemu nzuri...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini, nauza fremu kubwa, nzuri ya biashara ipo Tabata Segerea mwisho opposite na stand ya daladala tsh 12.5 Milioni. Sifa zake: Imelipiwa kodi ya mwaka mmoja hadi September 2022. Kwa bei...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Ina hitajika aina hii ya Land rover Rangerover
0 Reactions
6 Replies
904 Views
Habari!! Kiwanja kinauzwa kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya cha kigamboni kimebaki kimoja mitaa 35 kwa 35 bei ni million 4.5 (4,500,000) kutoka ferr mpk kona ya chuo ni km 22...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
NAHITAJI NAME TAG Natumai ni wazima wa Afya, kwa wagonjwa Allah awape uzima. Ndugu zanguni nina shida kubwa sana , nahitaji kununua "Name Tag" Yoyote anaweza kunisaidia wapi nitapata naomba...
2 Reactions
2 Replies
590 Views
Simu inauzwa, ni Xiaomi Poco M3 RAM:4GB ROM: 64GB RESOLUTION:2040X1080(full HD) Camera:Nyuma 48mp Mbele:16mp Betri:6000mAh Simu imetumika miezi minne tu! Ni nzima haina Tatizo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa! Kama kichwa kinavyojieleza.niko mwanza nahitaji creti zikiwa na chupa zake tupu Kati ya 150-200. Ofa tutaongea Mana biashara ni maelewano
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzan aina ya Galaxy mpya unauzwa elf 80 tu...Upo kigoma mjin Mawasiliano: 0762990097
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Chumba Choo ndani (Masta) na Sebule. Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu. Mahali: Mbezibeach Makonde Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000 Maelezo Zaidi: 0716442950
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Our company was founded in January, 2019 on the principle of warm, friendly, and efficient service. Our staff knows how to get the job done, and we often exceed the expectations of our clients. We...
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Natafuta gari kati ya aina ya corola (toleo lolote zile old model), toyota duet, carina old model, vitz zile za zamani au aina yoyote ile namba A, B au C itakayokua ya bei rahisi (3-2 mil), kwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…