Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii ni bei ya belo za mitumba grade one. Tunapatikana keko Tunatuma Tanzania nzima(Tc apply) Piga au tuma sms kwenda namba 0713278725 Grade2 pia ukihitaji zinapatikana 1:Mixer dress kg45 bei...
6 Reactions
17 Replies
30K Views
Iphone Xs Max Double line 256Gb Face ID True Tone Tsh 830,000/= 0784125895 Dar Es Salaam
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Naomba kujua bei ya dawa hii ya kuchanja kuku (tatu moja vaccine) inauzwa bei ghani na inapatikana wapi Mimi nipo Dar Wilaya ya Temeke
2 Reactions
10 Replies
6K Views
inauzwa full set. 0625750755 Dar es salaam Gongolamboto Bei 150000
0 Reactions
3 Replies
773 Views
Habari. Wadau! Tunauza masweta ya watoto na watu wazima kwa bei nafuu kuanzia Tsh.15000 mpaka 25000 inategemeana na saizi ya mteja wetu , tupo Daressalaam maeneo ya kinyerezi,mikoani tuna tuma...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
OFFER OFFER OFFER Nauza nai nai elfu 8 8000/= Niko Dodoma nzuguni 0620239355 Wahi zipo chache
0 Reactions
3 Replies
1K Views
American product 64gb haina tatizo lolote,clean as new Bei yake ni 650K tsh only Nai mapema dsm tanzania call/whatsapp 0768048752
0 Reactions
11 Replies
916 Views
Wakuu naomba kujua bei ya mzani mkubwa mpya wa kupima uzito na urefu pamoja na upatikanaji wake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wekeza kwenye upangaji wa nyumba kwa Ramani hii, unit mbili za apartment kila unit moja ina chumba kimoja self// nichek 0627571649
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Sio mpya lakin sio mbovu Gb500=50000 1tb=85000
2 Reactions
6 Replies
731 Views
Price -500,000/= Condition-Used Brand-Samsung Screen Size-65.0 Inches Tv display type-LED 4K END 2K Tupo Mbeya mjini. Mawasiliano whattsapp:0747175984
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Leo hii ningependa nionglee zaidi kuhusu neno Omega 3. Imekuwa ni kawaida kuwa jamii yetu sasa imebadili mtazamo kuwa unene ni afya na sasa watu wengi wanapambana na huu ugonjwa ambao unakuja na...
1 Reactions
1 Replies
15K Views
Je, wewe ni mmiliki wa BIASHARA ambaye ni Mkazi wa Maeneo TAJWA hapo JUU? Je, unataka kuweka biashara yako mtandaoni ili iwe ya kisasa na kurahisisha mawasiliano yako? Je, wewe ni mmiliki wa...
1 Reactions
1 Replies
754 Views
Wadau naomba kufahamu nalipateje soko zuri la nazi. Kiufupi Nina nazi zaidi ya 20,000 natafuta soko lake. Nazi ni Bora kutoka Ng’apa Mkoani Lindi. Mwenye uzoefu na zao hili tafadhali.
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za asubuhi watu wa Mungu. Tunatoa huduma ya kuandika Business plans, proposals, strategic plans kwa ajili ya taasisi yoyote ile either kuomba mkopo bank, kumwandikia mwekezaji au hata...
1 Reactions
4 Replies
940 Views
Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Get it now. This machine is manually operated. It has no any technical problems. Not repainted at all. located at kunduchi Dar es salaam. Priced at 3.6million Tshs come with your technician...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa wale wanaohitaji business plan, proposal na research, tafadhali wasiliana nami at humble2080@gmail.com. Ninatengeneza vitu tajwa hapo juu kwa ubora wa hali ya juu sana. Bei za vitu hivyo...
1 Reactions
3 Replies
821 Views
Habari Wakuu nauza frij hili aina ya Indest bei poa tu 200,000 unaweza litumia hata kwa biashara kwani lina friza na inagandisha vizur sana kwa muda mfupi na halitumii umeme mwingi. Lipo dar...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji hii kitu, nataka kujua bei yake na wapi naweza kupata, mwenye uelewa nazo tafadhali naomba muongozo
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…