Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naitwa x,nauza eneo lenye vyumba viwili,eneo lipo mbezi (goba)sio mbali na barabara na umeme upo namba zangu kwa atakayehitaji ni 0785-458405
1 Reactions
0 Replies
856 Views
Viwanja viko mbezi mpiji magoe ukubwa kuanzia 22x20 bei 4.5milion. Viko kandokando mwa barabara ya mbezi kwenda mpiji magoe. Huduma muhimu kama maji, umeme, hospital na shule zinapatikana. Kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, nauza Kiwanja change chenye ukubwa wa 35x45 mita, kimepimwa na manispaa ya morogoro, kina ofa. Nauza kwa bei ya tsh 10M haipungui. Eneo lipo kihonda Kilimanjaro ( karibu na eneo...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Viwanja vipo Kilometer1.2 kutoka stedi ya daladala ya Goba. Viwanja vimepimwa kama ifuatavyo:-- Ukubwa 20M×20M (SQM 400)-Bei 10Milioni Ukubwa 20M×40M (SQM 800)-Bei 20Milioni Ukubwa 30M×40M (SQM...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kiwanja kina hati na kina ukubwa wa Sq metre 1,516. Bei ni 22.5 million . Pia mazungumzo yapo. Karibu sana 0718 385 553
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Mbande mwembe bamia, temeke Dar es salaam. Milioni 11. Kinafaa kwa flemu kwa kuwa kiko karibu na barabara ya mtaa au unaweza jenga na nyumba. Ni kilomita karibia na moja...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Nauza kiwanja maeneo ya dege Kigamboni jiran na magorofa ya NSSF....hakijapimwa ila kina mita kama 28*25. Kipo jiran kabisa na barabara. Kwa mwenye kuhitaji tuchekiane 0713806766. Bei ni milion 5...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom