Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Good Condition Aux Hdmi Usb Optical Redio Remote Bluetooth Price 380,000/= Call 0766776815
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jipatie hii pamphlet maalumu. imeandaliwa kitaalamu na ni technical kwa wanafunzi wa sekondari. Kitabu (pamphlet) kimoja kuna masomo mawili (kiingereza na fasihi ya kiingereza) Fomu 1_4...
0 Reactions
15 Replies
967 Views
PS3 kipengele hdmi inatumia AV Ina game 9 Av cable 1 Pad 1 Waya wa moto 1 Tsh 200k bei fixed Kichwa kitupu Tsh 170k bei fixed 0692402211
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Nipo Temeke mzigo upo ukutani ipo safi kama nlivyoitoa dukani Bei 550,000 0678096545 Mawasiliano 0678096545
1 Reactions
22 Replies
2K Views
nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Nimepata dharura nauza Fridge langu Ni zima na bado mpya. Bei Bure kabisa 400k Nipo Dar - Tegeta Contact : 0734694754
1 Reactions
6 Replies
799 Views
Viwanja vipo goba tegeta A ukivuka shule ya msingi kuelekea madawa. 1. 20/22meter kipo kazimoto street. Bei ni sh 13 mio mazungumzo yapo. 2. 20/30 meter kipo kazimoto street, kina kamtelemko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki. Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph. Fika au...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Unataka kukua kiroho? Unatamani kufika katika kambi bora kabisa la kujifunza Neno la Mungu? Njoo jiandikishe inbox mapema sasa usikose nafasi... Kambi la kuweka alama katika maisha yako! Kambi la...
1 Reactions
6 Replies
974 Views
Nahitaji kununua generator nzuri chini ya Million 15 Kwa ajili ya kugenerate umeme kijijini kwa bibi mkubwa
2 Reactions
7 Replies
3K Views
habari karibuni dukani kwetu ujipatie simu kali za oppo . oppo a15 ram 2 gb storage 32gb Front Camera: 5MP✅ Rear Camera:13MP + 2MP + 2MP✅ RAM: 3 gb✅ Storage:32GB✅ Battery Capacity 4230mAh✅...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Natafuta gari aina ya ist kwa ajili ya biashara ya Uber,mkononi nina 4M.Nipe gari nifanyie biashara ntakulipa kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu hela inayobaki
2 Reactions
5 Replies
832 Views
Ongeza kipato chako kwa kununua mashine za kutengeneza ice cream au barafu za kwenye koni na ice lolly wengi wanaziita lamba lamba. Ni biashara nzuri sana kwenye mashule,vyuo pia hata mtaani...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Lenovo Legion Y7000 PROCESSOR / CHIPSET CPU: Intel Core i7 (9th Gen) 9750H / 2.6 GHz Max Turbo Speed: 4.5GHz Number of Cores: 6-Core 64-bit Computing: Yes Features: integrated memory controller...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama uko maeneo ya Mwanza na una Simtank used unauza, naomba tuwasiliane inbox tufanye biashara. Asante sana.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua location nzuri naweza kupata Smart TV nzuri Inche 32.Nina 450,000 mkononi. Pia ni kampuni gani nzuri zaidi? Shukrani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari inauzwa Toyota Premio Engine kubwa Ina upungufu wa Real Lights, side mirrors, powerwindows baada ya wez kufanya yao. Gari iko Dar Es Salaam For serious buyers: Check with 0782676842.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu JF leo tuangalie umuhimu wa flush cistern tank na matumizi yake na namna ya kufunga na ubora wake Flush cistern tank ni kifaa maalum kwa ajili kuifadhi maji ya kusafisha...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mwenye huitaji Tunauza Mizinga na Makundi ya Nyuki kuanzia April 18. Tutakuwepo kwenye Viwanja vya 88 Morogoro Karibu tukuhudumie Toa order yako mapema!
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Natumaini muwazima wa afya na mnaendelea kutekeleza majukumu yenu. Ningependa kuwashirikisha machache kuhusu kampuni yetu Watanzania ya TTCL Kwanza nianze na huduma...
13 Reactions
83 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…