Wakuu habari.
Nina Shida ya usafiri wa mizigo yangu kidogo pamoja na mimi mwenyewe kutoka Mwanza kwenda Dodoma.
Nikipata gari ya mizigo inayoenda Dodoma nitashukuru.
Naomba connection
Natengeneza Matangazo Ya Biashara Ya Kupost Insta, Facebook ,Whatsapp
UNAUZA NINI?
Nicheck nikudizainie TANGAZO zuri utakalolipost Instagram, Facebook, Whatsap, Magrupu, Status n.k
Bei rahis tu...
Top Quality Website & Hosting Package - 50% Off!
We're pleased to offer our Top Quality Website & Hosting Package to new and small businesses at Over 50% OFF our regular prices for either a new or...
NYUMBA INAUZWA MBEZI MAKABE KWA DUNIA MACHO KODO. NI KM 3 TOKA STAND YA MAGUFULI
LOC :MBEZI MAKABE
AREA : SQM 400
PRICE : MIL 45
UMILIKI :MKATABA WA MAUZIANO
HII SIO YA...
Storage 64gb
Battery health 95%
Touch id inafanya kazi
Ina cracks kidogo kwenye back glass ila imewekewa back glass protector
Bei 400000 tu
Kama upo dar au kibaha nakuletea ulipo nina shida na...
Habari,
Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki).
Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe...
Wakuu Niko na Binamu yangu anasoma shule ya day Ila Kuna changamoto ya umbali kutoka nyumbani Hadi shule ni kama kilometa 3½ - 4.
Mwenye Baiskeli nzuri used yenye good condition nistue
Ndg yangu pengine una paa lililo ezekwa kwa vigae vya Mbezi tiles au Nabaki Africa, limechafuka na hujui ufanye nini. Sasa ninalo Suluhisho la tatizo lako.
Huna haja ya kupaka rangi kigae chako...
Pikipiki ni King Lion
Cc 150 Gia 5
ametembea mwaka mmoja
Hana shida yoyote njoo na hela yako tu
Engine nzima kabisa
1,800,000
Nipo Nae machinjioni hapa
0713096076
Je kufua kwako ni kero basi rahisisha maisha kwa kuokoa muda wa kufua ishi kidjitali kwa kutumia mashine ya kufulia
Brand:Panasonic
Model Name: NA-F70G6
Condition: used
Color:Silver
Washing...
Ndugu zangu habari, mimi nipo mbele yenu leo kuliuza shamba zuri la mikorosho lililopo wilaya ya Manyoni lenye ukubwa wa ekari 13.
Shamba hili lipo katika mradi mkubwa sana wa korosho hapa...
Nauza gari yangu Toyota verossa iko kwenye hali nzuri
Year:2002
Engine cc:1980
Colour:silver
Insurance:comprehensive
New tires
Location:Mbezi beach
Full AC
Contact:+255714787795(owner)
nauza bulb camera kwa bei rahisi kabisa arusha mjini
-inaunga wifi hivyo unaweza kutazama kinachoendelea nyumbani au kwenye biashara kwako ukiwa popote duniani kwa simu yako (smartphone)
-ina...
Salama wakuu, nmewasogezea hapa printer Hp LaserJet. Printer ipo kwenye hali nzuri kabisa ni (Black&white) kwa yoyote ambaye atakuwa interested bei yake ni 250,000= top top, kwa mawasiliano zaidi...
Je, wajua kua Brand nyingi maarufu zinazotengeneza AV Receivers huweka sound decoder kwaajili ya ku control sorround sounds...au 3D sound formats
Na hizo decoding softwares kuna makampuni...