Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Viwanja vipo Mkuranga mjini.Ni dakika30 kutoka Mbagala,na nauli ni elf moja tu kwa daladala,na ni kama km30 au zaidi kidogo kutoka Mbagala. Eneo lipo mita500 kutoka barabara kuu ya lami.Eneo ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 70m*70m . Bei 13 ml. 0753101293
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna viwanja vinauzwa Chanika zingiziwa 20x20 vipo eneo zuri mkabala na zahanati ya serikali kiasi kwamba vinafaa hata kujenga kitega uchumi kwa wanaoelewa fursa zipatikanazo maene jirani na...
0 Reactions
4 Replies
773 Views
Kipo Tegeta-Madale Dar es salaam. Karibu na Flamingo. Kina ukubwa wa mita 20×25. Msingi wa vyumba 3. Vyoo vya ndani 2, sitting & dining rooms. Mawasiliano:- 0788886038.
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Viwanja hivi vipo Msalato njia ya Kondoa - Arusha kimoja kina ukubwa wa zaidi ua eka moja na ramani ya mchoro tayari imeshapitishwa na Mamlaka husika Viwanja vingine vipo Nala Mizani njia ya...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Lipo Mkuranga , bungo karibu na kibiti km 7 toka barabara ya lami , kilimo cha umwagiliaji ni rahisi kwani maji hayako mbali simu: 07182 95 182 Bango
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Kipo kibaha kwa mfipa. Ni 23x20. Bei ni milion 6. Ukihitaj ni pm.
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Square Feet/Meters: 164,042 ft2/50,000 m2/12 acres Zaidi ya viwanja 50 vinauzwa Kigamboni Mwasonga,Karibu na Mradi wa Real Madrid soccer Academy na Nssf. Umeme na maji vipo. Bei ni tsh 10,000 kwa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20. Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo. Piga simu 0754/0715 472414
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa kiluvya (vimepimwa) Bei kwa kila square mita ni 8000 Tshs Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0712252525
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza Plot TABATA segerea eneo halijapimwa lina ukubwa wa sq metre 589 urefu 27 upana upande mmoja ina 18 mwingine 22 bei ni 20 million mazungumzo yapo umbali toka kituo cha daladala hadi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Wakuu hodi humu ndani..nauza kiwanja mbezi makabe ni kizuri tambarare ukubwa wake ni 20* 20 bei poa.. Samahani sina picha zake nilipoteza simu na picha zote lkn ni kizuri kama mtu anauhitaji wa...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
0 Reactions
6 Replies
876 Views
Kiwanja kipo Mbezi Malamba mawili, njia ya kwenda kinyerezi. Ukubwa wa 520 sqm Bei ni 12,000,000 Malipo ni cash Umeme na barabara ni hapo hapo Kinafaa kwa matumizi ya makazi na biashara kwani...
0 Reactions
0 Replies
640 Views
Goodmorning... Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza viwanja vyangu viwili ambavyo vyote vipo wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam. Kiwanja kimoja kipo kata ya Goba ambacho ukubwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kidogo kinauzwa Bulola, Buswelu, Mwanza. - Kipo karibu na St. Helen English Medium Primary School. Kabla ya kuingia centre ya Buswelu. - Vipimo: 12x26m. - Documents zote za jiji zipo. -...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wasalaam wana JF Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma. Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna viwanja vinauzwa eneo la Kimara Kibamba. Ramani ya viwanja husika imeambatanishwa hapa chini. Kila kiwanja kinachoonekana ni TZS 4,000,000/= (milioni nne tu). Nafasi ya majadiliano...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom