Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha. Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Eneo kubwa la hekari moja linauzwa lipo mabwe pande kilometa 5 kutoka bunju b stendi umeme unapatikana pamoja na maji Serious buyers 0657227370 tuma sms whatsapp au call me..
0 Reactions
0 Replies
693 Views
SALAMU NYINGI KWENU, Kwa wale wanaotamani kuwa na makazi Morogoro, kuna jirani yangu anauza kiwanja kipo Morogoro mjini, Kata ya Mlimani, mtaa wa Kikundi. kwa yeyote mwenye uhitaji huo ani-PM...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwaa urefu fut 50,upana fut 30, kwa sh.2000000 /= kamili Mazungumzo yapo. Kipo Mbande mbagala 0755155782 kwa mazungumzo zaidi.Pamoja na picha.
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Ninauza kiwanja, kipo Mbezi Marambamawili, Mtaa wa Mzalendo, kipo eneo kwa makazi na biashara za aina yoyote. Ukubwa ni : 26" x 20" Bei: Tutaelewana Mawasiliano: 0685 810 420
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Viwanja vipo kilwa road mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa, mji unaitwa chatembo, Ukubwa ft 50×50, Bei ni mil 2 tu, 0683775566, 0714775566 Wote mnakaribishwa
0 Reactions
2 Replies
947 Views
Habari wana Jf. Bei ni 2.7mil maelewano yapo. Ukubwa ni mita15*15. Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Kiwanza kinaunza Mahali: Kinzudi Ukubwa: 40*50m Bei:. Milion 65 (maongez yapo) Umeme na maji vipo hapo hapo NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Plot for sale at mbezi beach B rifle range near roundabout 1372 square metres good for building apartments Price:250 million Contact:0673864333 :0688229888
1 Reactions
0 Replies
824 Views
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU. KIWANJA KINAUZWA Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium. Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ). Eneo...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja. Bei kuanzia tsh 1.5m tu Kwa taarifa zaidi piga...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Bestates Properties Call/Whatsapp: 0786157788 kinauzwa • TSh milioni 2.2 • Chanika Nyeburu B • kilomita 1 baada ya Zahanati ya Buyuni na kilomita 2 kutoka barabara kuu ya lami ina nyaraka toka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja. Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
0 Reactions
5 Replies
1K Views
VIWANJA VINAUZWA.VIWANJA VINAUZWA. VIWANJA VINAUZWA VIPO VIWILI KWA PAMOJA,KILA KIMOJA KINA UKUBWA WA MITA 16 KWA MITA 16. KIPO MAENEO YA CHANIKA SHULE MPYA YA KABAKARI. KILA KIMOJA KINAUZWA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja UJAZO 645sqm kina Hati kipo Mbweni Mpiji mahali pazuri,maji umeme upo bei,35 m ,majadiliano yapo wahi kipo KAribu na shule ya kimataifa
1 Reactions
2 Replies
828 Views
Kiwanja kiko tegeta Madame kilomita 3 kutoka kiwanda cha twiga cement ukubwa 30×20 bei mil 12.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom