Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
Eneo kubwa la hekari moja linauzwa lipo mabwe pande kilometa 5 kutoka bunju b stendi umeme unapatikana pamoja na maji
Serious buyers 0657227370 tuma sms whatsapp au call me..
SALAMU NYINGI KWENU,
Kwa wale wanaotamani kuwa na makazi Morogoro, kuna jirani yangu anauza kiwanja kipo Morogoro mjini, Kata ya Mlimani, mtaa wa Kikundi.
kwa yeyote mwenye uhitaji huo ani-PM...
kiwanja kinauzwaa urefu fut 50,upana fut 30, kwa sh.2000000 /= kamili
Mazungumzo yapo.
Kipo Mbande mbagala
0755155782 kwa mazungumzo zaidi.Pamoja na picha.
Ninauza kiwanja, kipo Mbezi Marambamawili, Mtaa wa Mzalendo, kipo eneo kwa makazi na biashara za aina yoyote.
Ukubwa ni : 26" x 20"
Bei: Tutaelewana
Mawasiliano: 0685 810 420
Viwanja vipo kilwa road mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa, mji unaitwa chatembo,
Ukubwa ft 50×50,
Bei ni mil 2 tu,
0683775566,
0714775566
Wote mnakaribishwa
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo
NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz...
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina...
Plot for sale at mbezi beach B rifle range near roundabout 1372 square metres good for building apartments
Price:250 million
Contact:0673864333
:0688229888
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU.
KIWANJA KINAUZWA
Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium.
Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ).
Eneo...
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Bei kuanzia tsh 1.5m tu
Kwa taarifa zaidi piga...
Bestates Properties
Call/Whatsapp: 0786157788
kinauzwa • TSh milioni 2.2 • Chanika Nyeburu B • kilomita 1 baada ya Zahanati ya Buyuni na kilomita 2 kutoka barabara kuu ya lami
ina nyaraka toka...
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
VIWANJA VINAUZWA.VIWANJA VINAUZWA.
VIWANJA VINAUZWA VIPO VIWILI KWA PAMOJA,KILA KIMOJA KINA UKUBWA WA MITA 16 KWA MITA 16.
KIPO MAENEO YA CHANIKA SHULE MPYA YA KABAKARI.
KILA KIMOJA KINAUZWA...
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut
Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.