Wakuu salamu.
Nahitaji IST ya mkononi kwa bei isiyozidi 8M.
•Rangi iwe silver, blue au grey
•Iwe ya kuanzia mwaka 2004-2002
•Isiwe imechoka sana.
Kwa mwenye nayo na anataka tufanye biashara...
Habari.
Naitwa Jerry natokea Jerry Empire, mahali pekee tunapohusika na uuzaji magari used ndani ya Tanzania na hata yale kutoka Japan.
Kupitia sisi unaweza kuuza gari yako kwa haraka na bila...
Salam kutoka Kimomwe Motors Tanzania Limited WAAGIZAJI WA MAGARI.
Siku za hivi karibuni, gari hii imekua kimbilio kwa wenye uhitaji wa gari yenye uimara na nguvu lakini inayotumia mafuta kidogo...
Gharama za kujipatia gari moja kwa moja kutoka Japan zimeshuka na sasa una uhakika wa kupata gari kwa bei nafuu Zaidi. Kwa kutumia nafasi yetu kama kampuni ya kitanzania, tunashirikiana na...
Gari aina ya nissan terano la kibalozi linauzwa bei sawa na bure ni dola 1700 tu gari ipo kwenye hali nzur sana halina michubuko wala kurudiwa rangi
Shughuli zake ni kupeleka wanafunzi shule...
NAUZA GARI YANGU MWENYEWE
MAKE ; Toyota
MODEL ; Raum
COLOUR ; White
TRANSMITTION ; Automatic
Cc ; 1490
PRICE ; 3.9m cash(fixed)
lita 1 ya mafuta inatembea 15km
NB : My own car and not a...
MAKE ; Toyota
MODEL ; Raum
COLOUR ; White
TRANSMITTION ; Automatic
Cc ; 1490
PRICE ; 4m cash(fixed)
lita 1 ya mafuta inatembea 15km
NB : My own car and not a broker
-Gari iko Dodoma
-Gari...
Gari iko vizuri
Njoo uione ujiridhishe
Muuzaji ndio mmiliki haina udalali.
Bei inaongeleka
Mazungumzo yote kwa simu tafadhali 0717221222.
Milioni Tano (5,000,000)
Habari zenu wakuu,
Kwa uhitaji wa kununua gari used Tanzania, yaani gari za mikononi,
Wasiliana nami,
Leta oda yako kama sina nitakutafutia, kikubwa uwe na utayari na hela iwepo,
Ndani ya siku...
Make : TOYOTA
Model : Toyoace truck (RZY-220)
Mileage : 168,200km
Engine size: 1,990cc (1RZ)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
Drive : -...
Gari aina ya canter inauzwa Kwa bei rahisi sana ni baada ya mzee kuona dereva anamsumbua kaamua kuuza
Anahitaji million kumi na tatu tu
kama una mteja uza Kwa bei yeyote yeye yake ni hiyo tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.