Car4Sale Nauza Toyota Passo 2005, 39,000km

Nakupa 4.5 ni pm mkuu
Hapana mkuu...Hii nimeagiza kwa ajili ya kuuza...najaribu kukuza mtaji. So nimefanya uchaguzi mzuri sana...chk km zilivyo...au ulitaka iwe km100,000? Ninataka kukuza mtaji. So ni kwa ajili ya biashara.
 
Hii biashara yako itadoda.Kila mtu anaweza kuagiza gari na ikafika mkononi kwa gharama ya soko....Ila hii ya kutafuta faida tena kwa gari moja tu (Gari moja huwezi kupata discount) sidhani kama biashara yako itafika popote.
 
Hii biashara yako itadoda.Kila mtu anaweza kuagiza gari na ikafika mkononi kwa gharama ya soko....Ila hii ya kutafuta faida tena kwa gari moja tu (Gari moja huwezi kupata discount) sidhani kama biashara yako itafika popote.
ushauri wako ni mzuri ila tu utapuuzwa kutokana na hilo li avator lako linatia kichefuchefu mnoo...
 
Hii biashara yako itadoda.Kila mtu anaweza kuagiza gari na ikafika mkononi kwa gharama ya soko....Ila hii ya kutafuta faida tena kwa gari moja tu (Gari moja huwezi kupata discount) sidhani kama biashara yako itafika popote.

Wabongo kwa kukatishana tamaa hatujambo...yaani usha-judge kabisa lol. Anyway hujawahi ona bidhaa ile ile inauzwa bei tofauti madukani? Basi hii kama hatopatikana wa hio bei...nitaitumia kwa biashara hadi ifike km 90,000 na ntakuuuzieni kwa M7 au 6.7 na hapo ishaniingizia za kutosha kwani sasa in km 39,000.....hapo wasemaje.
 
kaka 7 vp

Hapana mkuu...check specs zake na uingie tradecarview mwenyewe afu njoo tuongee. Ingekuwa ishatumika hadi km laki sawa....hv vigari vidogo injini zake ndogo so kuwa makini kwa kuangalia kishapiga mzigo kiasi gani.
 
Kaka kilometer isiwe ndio strong base yako ya kushawishi au bei kuwa juu. Kuna wataalam wanazirudisha hata ukitaka iwe zero km. Cha muhimu ni kuangalia gharama ulizotumia na faida unayotaraji kupata
 
Kaka kilometer isiwe ndio strong base yako ya kushawishi au bei kuwa juu. Kuna wataalam wanazirudisha hata ukitaka iwe zero km. Cha muhimu ni kuangalia gharama ulizotumia na faida unayotaraji kupata

Mkuu nimeangalia gharama ninayoifikishia hapa na hali halisi ya gari pia. Sina haja kucheza na km ndo maana nikamwambia gari bado iko ktk hali nzuri sana kulingana na specs zake. Sasa wewe unataka niuze M5? Si nishasema nauza 8.5M final na kama hafiki bei sina ugomvi na mtu, ntatumia na ikifika km laki ntauza kwa hiyo 6.7 to 7M. Ila kwa sasa siwezi uza chini ya hiyo 8.5M....kama una chini ya hiyo, samahani kwa kweli.
 
Mkuu nimeangalia gharama ninayoifikishia hapa na hali halisi ya gari pia. Sina haja kucheza na km ndo maana nikamwambia gari bado iko ktk hali nzuri sana kulingana na specs zake. Sasa wewe unataka niuze M5? Si nishasema nauza 8.5M final na kama hafiki bei sina ugomvi na mtu, ntatumia na ikifika km laki ntauza kwa hiyo 6.7 to 7M. Ila kwa sasa siwezi uza chini ya hiyo 8.5M....kama una chini ya hiyo, samahani kwa kweli.
mkuu unalo moja tu, sasa ukiuza ..utauza nn badaye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom