Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.
Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo...
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris,km30 kutoka Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22.
Eneo liko karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni(beach).
Ni panafaa sana kibiashara,hasa kujenga...
GEOENGINEERS SURVEYORS LTD.
Tunatoa huduma zote za upimaji ikiwemo:
Ø #Upimaji wa viwanja vya makazi, viwanda, biashara n.k.
Ø #Upimaji wa barabara Highways, street roads n.k.
Ø #Uchoraji...
Eneo Linauzwa bagamoyo Kiromo size in sqm ni 1406 sqm bei tzs 8.5m eneo lina documents Salama.sio mbali na barabara kuu ndani kwa 11km kutokea barabara kuu ya kwenda bagamoyo.kwa mawasiliano zaidi...
Ofa bado inaendelea kama ifuatavyo.
1.Eneo:Michese
umbali toka city center:8 km.
Ukubwa wa kiwanja:hatua 32 urefu na hatua 34 upana.
Hati:Hati ya kijiji na halijapimwa ila Manispaa itapima soon...
Nauza viwanja viwili kwaajili ya makazi.
- Kimoja kina Ukubwa wa 33 x 20 na cha pili 33 x 30
- Kwa shilingi Milioni 6 kila kimoja.
- Vipo wilaya ya Hai (Bomang'ombe) km 1 kutoka Barabara kuu ya...
Habari!
Kiwanja chauzwa kipo Pugu Stesheni karibu na machinjioni. Pamejengeka, huduma za jamii zipo ikiwemo umeme. Ukubwa wake ni futi 67 kwa futi 58. Bei ni 4.8 milion . Kwa maswali karibuni...
Eneo lipo HIMO pale njia panda ya kuelekea moshi mjini na arusha, Eneo ni kubwa lina UREFU: Hatua 65 na UPANA: Hatua 45, kiwanja ni tambarare na kipo umbali wa takribani mita 150 kutokea njia kuu...
Tunauza Kiwanja Salasala Marobo.
- Direction: Kutoka Salasala Mwisho wa rami hadi kwenye Kiwanja ni Kilomita 2.
- Ukubwa wa uwanja ni 400sqm.
- Una leseni ya Serikali ya Mtaa
- Umeme Upo
- Bei...
Kiwanja Kimepimwa Kina hati.
Ukubwa wa Kiwanja ni 3500sqm ( ekari 1 Kasoro )
Kipo Kilomita 2 kutoka Salasala Mwisho wa rami.
Bei Tsh 40,000,000/- ( Maelewano yapo )
((( 0685917621 )))
Nauza viwanja bei poa, vipo eneo panaitwa Nyanguge, ni km 30 kutoka katikakati ya jiji la Mwanza(dakika 20-25) eneo linafaa kwa ujenzi/ufugaji, mita 110, kutoka barabara kuu ya Mwanza-Musoma, cha...
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.
Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo...
Wakuu kama tangazo linavyojieleza hapo juu nina kiwanja changu nakisukuma kwa bei cheee kipo maeneo ya mbezi msumi kina ukubwa wa 20*23 hatua za miguu ... Njoo pm
Nauza shamba heka 1, lipo Boko Mnemela-Kibaha. Eneo lipo umbali wa 8km kutoka shirika la elimu kibaha na linafaa kwa ujenzi, ufugaji na kilimo. Halipo mbali sana na barabara inayounganisha Kibaha...
Nauza kiwanja kwa bei ya kutupwa milioni 6 kina ukubwa wa hatua za miguu 20 kwa 23 hakuna udalali mim ndo mmiliki wa icho kiwanja kipo mbezi msumi jirani na shule ya sekondari mbopo
Kiwanja kinauzwa kiko CHANIKA
ukubwa: 978 meter squares (Plot No. 142, kilichowekewa Tiki kulia)
kiko kabla hujafika CHANIKA MWISHO kimepimwa na ukikinunua tunakuprocessia na hati.
Katika picha...
Vimepimwa na hati zake kamili na malipo ya kodi zote,square meter 600 kila kiwanja.Ni pale lile eneo maarufu kama makazi ya wastaafu.
Sababu ya kuuza,shida na hela ya kuendeleza project zangu.bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.