Gari hii ni ya mwaka 2004, ina miezi 8 hapa Tanzania. Kila kitu kiko vizuri. Ina Kilomita 76,000
Gari inapatikana Mbeya na niko tayari kuisafirisha kwenda popote Tanzania.
Bei yake ni...
Toyota RAV 4 ya mwaka 1995 inauzwa, milango mitano Engine capacity ni 1998, imetembea KM 160926.
Bei ni Shilingi Milioni sita na laki tano tu (6,500,000/=) . Ipo Dar-es-Salaam. Kwa maelezo zaidi...
TOYOTA LAND CRUISER
MANUFACTURE YEAR:2018
ENGINE CAPACITY Cc: 4461
MILEAGE: 38,814km+
ENGINE CODE:IVD-FTV
FUEL: DIESEL
STANDARD FEATURES
RUBBER FLOOR MATS
8.5TONNES WINCH
FULL SUSPENSION UPGRADE...
Nauza gari....kulingana na ugumu kwa kipindi hichi ...nmeamua kushusha bei ya gari
Gx 110
Cc 2.5
Vvti-beam
Unywaji wa mafuta ni kawaida tu sio kama watu wanavyotishana
Nasema hivi sababu...
Wakuu habari zenu,
Hii ni mada maalum ajili ya wauza magari kukutana na wanaotaka kununua magari.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea Gari unayouza kwa...
Details
Price: negotiable Yes
Condition: Used Abroad
Current location: In Tanzania
Import duty paid: Yes
Transmission: Automatic
Descriptions
Toyota IST unregistered or chassis number for sale...
Wakuu salaam.
Ninaunza gari yangu Toyota Harrier model ya mwaka 2001. Vvti injini, CC 2360, rangi yake silver. Gari nimeitumia kwa mwaka mmoja na wiki mbili sasa. Gari ni imara. Nimeitunza...
Mitsubishi Fuso Tipper inauzwa. Iko katika hali nzuri sana ,unanunua na kuanza kufanya kazi ,popote pale Afrika inafika ,bei ni 34 milioni maongezi yapo ,gari ipo mkoa wa Manyara, kwa mawasiliano...
Sifa
1. Rangi ni gold
2. Namba za usajili ni T244 DPS
3. Ukubwa wa injini ni 1490cc
4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa
5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa
6. Inabima kubwa...
1998 Toyota corolla for sale.. Cc 1490, MANUAL Transmission.. 180,0000kms..Color white..Very good Condition.. Price Tzs 4.5 million
Contact 0717900640
Dar es Salaam
Habari wana JF
Ninauza Gari langu aina ya Suzuki Carry/ kirikuu , Gari ni nzuri sana haina shida yoyote , inaendeshwa na kufika mkoa wowote , haijawai kufunguliwa engine wala gear box.
Ina...
Gari ni nzima haihitaji matengenezo yoyote. Ina nyaraka zote muhimu gari haina udalali unawasiliana na mwny nayo moja kwa moja.
IPO Arusha piga 0746265566
Bei ni mil 20
Maongezi yapo.
Sent...
AGIZA NASI GARI TOKA JAPAN KWA GHARAMA NAFUU KABISA*
Toyota Belta
Year : 2007
Drive : 2wd
Trans : Auto
Fuel : Petrol
Engine capacity : 1290cc
Seat : 5
Grade : G
[emoji625] Features [emoji625] ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.