kama nilivyotanguliza hapo juu nauza viwanja maeneo ya vikindu njia panda viwanja vipo karibu na barabara kuu ya kwenda mkuranga bei kuanzia milioni moja na kuendelea napenda kwa yule anaetaka...
Kiwanja kina hati ya miaka 60. kipo 3Km kutoka morogoro road kuanzia njia ya kutoka TAMCO Mile moja kwenda bagamoyo kupitia vikawe.
Bei Milion 500
Maongezi yapo.
0659997074 (Whatsapp,sms and...
Nauza kiwanja mbezi mwisho. Kipo karibu na old morogoro road . Kina sqm 1280. kina hati miliki. Kipo eneo la biashara. Unaw eza kujenga soko na fremu na raman ipo kwa atakaeipenda. maji, umeme...
Mahali:kiluvya karibu na kwa Sumaye
Bei:Million 7
Size ya kiwanja:mita za mraba(sqm)
600
Kiwanja kinafikika vizuri barabara iko vizuri kimepimwa
Mawasiliano kwa wanaohitaji
Ur welcome
Eneo la Mapinga nieneo linalokuwa kwa kasi sana. Na hii ni kwasababu Mapinga ipo karibu sana na Mbuju B. Viwand vingi na mashule yanafunguliwa kila kukicha. Watu wengi wanapapenda kwasababu ni...
Eneo linauzwa lipo maeneo ya Tabata bima linatazamana na St.Mary's Teachers College.
Ukubwa ni sqf 8000, eneo lipo bararani kabisa .All relevants documents ziko available (sio ya urithi ni owner...
Salaam,
Mwenyewe anauhitaji wa haraka.
Location: kigamboni, Kibada.
Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400).
Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani.
Kiwanja...
salaam,
shamba lenye ukubwa wa hekari 5, linauzwa, lipo kigamboni (kimbiji).
umbali kutoka ferry ni km 34
lipo ndani ya kijiji kinaitwa kwa moriss ( njia ya kwenda buyuni, unapita kambi ya...
salaam,
kiwanja kinauzwa, kipo kigamboni mara tu baada ya kuvuka daraja jipya, upande wa kulia (karibu na kanisa la roma (RC)
MAELEZO ya kiwanja
kina jumla ya sqm 746
kina offer tayari (...
*Kiwanja Kizuri Ajabu*
Hallo.
Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. Kwenye barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Kiwanja kina nguzo tatu za umeme kwenye kona zote tatu...
PureLife Tap Maji safi ni nini?
BF Suma PureLife ya Maji inashika nafasi ya 7 kati ya vifaa vyenye ubora na ufanisi wa maji kwa hali ya juu , kifaa ambacho kinaweza kuzuia chembe za 0.1amu na...
nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 16 njia ya kwenda wilaya ya pangani kata ya kirare kijiji cha kirare shamba halijawahi kulimwa. main road bei maelewano. nitafute 0787913493
Habari za jumapili wadau,Nauza Shamba lingine ,ekari moja ,Ruvu Kisabi,.liko pembeni ya mto.mazao yanayokubali,Mahindi,mpunga,tikiti maji,bamia ,n.k.pia zuri kwa ufugaji wa Samaki,hakuna haja ya...
Kama wewe ni mkulima njoo nikuuzie shamba kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga..
Eneo lipo kalibu na mkondo wa maji panafaa sana kilimo cha umwagiliaji, maji hayakauki.. Ukubwa heka moja. Bei...
NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA...
viwanja vinauzwa nyamagana kijiji cha luchelele karibu na dolphini lodge viko vitatu mita 16×30, vyote vipo sehemu moja vina hati. bei M6.5 kila kimoja, maelewano yapo simu 0753155934
Kiwanja Muungano Barabara ya Mwanza/Singida.
ukubwa - Miguu 28 kwa 25
umbali - 2.5 km toka Barabarani
Hakijapimwa ila wamehakiki
Bei-milioni 1.3
Kama uko interested niPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.