Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kipo Mwanza maeneo ya national kina square meters 583 mkabala na barabara. Kwa aliye serious nitafte kwa namba 0745522916
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kama nilivyotanguliza hapo juu nauza viwanja maeneo ya vikindu njia panda viwanja vipo karibu na barabara kuu ya kwenda mkuranga bei kuanzia milioni moja na kuendelea napenda kwa yule anaetaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiwanja kina hati ya miaka 60. kipo 3Km kutoka morogoro road kuanzia njia ya kutoka TAMCO Mile moja kwenda bagamoyo kupitia vikawe. Bei Milion 500 Maongezi yapo. 0659997074 (Whatsapp,sms and...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nauza kiwanja mbezi mwisho. Kipo karibu na old morogoro road . Kina sqm 1280. kina hati miliki. Kipo eneo la biashara. Unaw eza kujenga soko na fremu na raman ipo kwa atakaeipenda. maji, umeme...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mahali:kiluvya karibu na kwa Sumaye Bei:Million 7 Size ya kiwanja:mita za mraba(sqm) 600 Kiwanja kinafikika vizuri barabara iko vizuri kimepimwa Mawasiliano kwa wanaohitaji Ur welcome
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Eneo la Mapinga nieneo linalokuwa kwa kasi sana. Na hii ni kwasababu Mapinga ipo karibu sana na Mbuju B. Viwand vingi na mashule yanafunguliwa kila kukicha. Watu wengi wanapapenda kwasababu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eneo linauzwa lipo maeneo ya Tabata bima linatazamana na St.Mary's Teachers College. Ukubwa ni sqf 8000, eneo lipo bararani kabisa .All relevants documents ziko available (sio ya urithi ni owner...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salaam, Mwenyewe anauhitaji wa haraka. Location: kigamboni, Kibada. Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400). Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani. Kiwanja...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
salaam, shamba lenye ukubwa wa hekari 5, linauzwa, lipo kigamboni (kimbiji). umbali kutoka ferry ni km 34 lipo ndani ya kijiji kinaitwa kwa moriss ( njia ya kwenda buyuni, unapita kambi ya...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
salaam, kiwanja kinauzwa, kipo kigamboni mara tu baada ya kuvuka daraja jipya, upande wa kulia (karibu na kanisa la roma (RC) MAELEZO ya kiwanja kina jumla ya sqm 746 kina offer tayari (...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
*Kiwanja Kizuri Ajabu* Hallo. Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. Kwenye barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Kiwanja kina nguzo tatu za umeme kwenye kona zote tatu...
0 Reactions
5 Replies
997 Views
PureLife Tap Maji safi ni nini? BF Suma PureLife ya Maji inashika nafasi ya 7 kati ya vifaa vyenye ubora na ufanisi wa maji kwa hali ya juu , kifaa ambacho kinaweza kuzuia chembe za 0.1amu na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
1. SQM 3600 Kipo opposite na Ifisi hospital 120m (Negotiable). 2.SQM 4700 Kipo opposite na Songwe international airport,price 160m (Negotiable). NB; Plots zote zina “Tittle deeds” Zinafaa kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 16 njia ya kwenda wilaya ya pangani kata ya kirare kijiji cha kirare shamba halijawahi kulimwa. main road bei maelewano. nitafute 0787913493
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za jumapili wadau,Nauza Shamba lingine ,ekari moja ,Ruvu Kisabi,.liko pembeni ya mto.mazao yanayokubali,Mahindi,mpunga,tikiti maji,bamia ,n.k.pia zuri kwa ufugaji wa Samaki,hakuna haja ya...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama wewe ni mkulima njoo nikuuzie shamba kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga.. Eneo lipo kalibu na mkondo wa maji panafaa sana kilimo cha umwagiliaji, maji hayakauki.. Ukubwa heka moja. Bei...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA...
6 Reactions
80 Replies
9K Views
viwanja vinauzwa nyamagana kijiji cha luchelele karibu na dolphini lodge viko vitatu mita 16×30, vyote vipo sehemu moja vina hati. bei M6.5 kila kimoja, maelewano yapo simu 0753155934
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja Muungano Barabara ya Mwanza/Singida. ukubwa - Miguu 28 kwa 25 umbali - 2.5 km toka Barabarani Hakijapimwa ila wamehakiki Bei-milioni 1.3 Kama uko interested niPM
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom