Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Maji ya Dawasa yako Mita 12. *NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia ya kuelekea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jf, poleni na majukumu.. Nina eneo langu mwasonga, kigamboni lina ukubwa wa ekari 1.5 nimejenga nyumba ya vyumba viwili pamoja na mabanda ya kufugia.hapo awali nilikua nalitumia kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hallo JF, Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Maji ya Dawasa yako Mita 12. *NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanandg nauza kiwanja chang sq mita 625 kwa shilingi mil 4 Kiwanja kipo kigamboni Mwongozo, kimepakana na makazi ya NSSF Huduma za kijamii zipo Kina hati ya serikali za mitaa Kipo tambarare na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kuna kiwanja chenye ukubwa wa sqm800 kipo kinyerezi mwisho dakika 5 kwa mwendo wa miguu toka barabara kuu ya lami. Bei yake 22milion, mazungumzo yanaruhusiwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Vipi kibamba hatua za miguu 20 kwa 20 lakini nane mawasiliano 0713216018
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Viwanja hivi vipo Kigamboni- Kimbiji jijini Dar es Salaam, mita 500 kutoka baharini. Kutoka Kigamboni mpaka viwanja vilipo ni umbali wa Kilomita 38 ambao ni sawa na umbali wa kutoka Posta Mpya...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi na biashara vinauzwa Tegeta Wazo Hill plots available Tsh 25,000 per Sqm......6 km from main road Vikawe plots available Tsh 16,000 per sqm......3km from main...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja kipo sehemu nzuri sana, Kimeshawekewa bicon tayari Kina urefu wa meter 30 na upana meter 32 Umbali kutoka main road ni meter 150 Kiwanja chote ni tambarare LOCATION: PUGU (majohe) km 2...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bagamoyo, Magambani - ukubwa wa 2,346 sqm Kiwanja kinauzwa Bagamoyo mjini.@Tshs.35,000,000 - Dakika cha kutoka ufukwe wa bahari - Kiwanja kina hati. 0752984000
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Habari wakuu, Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bunju A Magurumawe, kimepimwa, eneo liko sehemu nzuri (kuna majirani) na sio bondeni, maji na umeme viko karibu, barabara inapitika vizuri! Ukubwa wake...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kiwanja kipo karibu na barabara Location: Street: Yange yange Ward: Msongola Destrict: Ilala Region: Dar es salaam 12 km from banana (gongo la mboto) 1.5 km from kivule (frem kumi) 7.5 km...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUNAUZA KIWANJA GOBA KULANGWA Kipo Umbali Kilomita 1.5 Kutokea Barabara ya Lami ya Goba/Madale Jirani na Shule ya Msingi " Future Kings " Kina Sqm 500 ( Mita 25 Kwa Mita 20 ) Kiwanja Kimepimwa (...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
VIWANJA VYA MAKAZI MAPINGA KIMERE Viwanja vya makazi vinauzwa Mapinga KIMERE Viwanja vipo Mtaa wa Kimere ni Km 5 kutoka Bunju( Km 3 tu kutoka Mainroad Bagamoyo) Vipo viwanja vinane(8) Vipo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba Ipo Goba Marobo, Umbali wa 3Km kutoka Goba Senta. Nyumba ina Vyumba 4, Uwanja unaukubwa wa 400Sqm. Umiliki; hati ya Ununuzi ya Serikali ya Mtaa. Bei Tshs 17 Milioni Our Contact ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ARC Land Property ni wauzaji wa viwanja vya aina zote vya mkazi na biashara (hotel site, beach plot, nk) viwanja vinapatikana KIGAMBONI *VIWANJA VYOTE VIMEPIMWA NA RAMANI ZIMETHIBITISHWA(BLUE...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa goba maeneo ya lastanza upande wa kushoto kutokea masana vimepimwa na hati kila kimmoja kina square meters 1800 vilikuwa 6 now vimebaki 3 karibuni sana mwenye eneo anaishi hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo: Mkokozi Wilaya: Mkuranga Bei: Square Meter 1 - 12,000 Viwanja vipo mpakani kati ya Kigamboni na Mkuranga.....Kutoka daraja la kigamboni ni km 17 tu. Viwanja vimepimwa yaani ukinunua moja...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kipo Mwanza maeneo ya National mkabala na barabara inayokwenda Buswelu square meters 583 kimeshapimwa na hati miliki..Bei mil 19 haipungui na hakuna gharama za Dalali Kwa aliye serious nipigie...
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Back
Top Bottom