Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme.
Maji ya Dawasa yako Mita 12.
*NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia ya kuelekea...
Habari wana jf, poleni na majukumu.. Nina eneo langu mwasonga, kigamboni lina ukubwa wa ekari 1.5 nimejenga nyumba ya vyumba viwili pamoja na mabanda ya kufugia.hapo awali nilikua nalitumia kwa...
Hallo JF,
Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme.
Maji ya Dawasa yako Mita 12.
*NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia...
Wanandg nauza kiwanja chang sq mita 625 kwa shilingi mil 4
Kiwanja kipo kigamboni Mwongozo, kimepakana na makazi ya NSSF
Huduma za kijamii zipo
Kina hati ya serikali za mitaa
Kipo tambarare na...
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kuna kiwanja chenye ukubwa wa sqm800 kipo kinyerezi mwisho dakika 5 kwa mwendo wa miguu toka barabara kuu ya lami. Bei yake 22milion, mazungumzo yanaruhusiwa...
Viwanja hivi vipo Kigamboni- Kimbiji jijini Dar es Salaam, mita 500 kutoka baharini. Kutoka Kigamboni mpaka viwanja vilipo ni umbali wa Kilomita 38 ambao ni sawa na umbali wa kutoka Posta Mpya...
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi na biashara vinauzwa
Tegeta Wazo Hill plots available Tsh 25,000 per Sqm......6 km from main road
Vikawe plots available Tsh 16,000 per sqm......3km from main...
Kiwanja kipo sehemu nzuri sana,
Kimeshawekewa bicon tayari
Kina urefu wa meter 30 na upana meter 32
Umbali kutoka main road ni meter 150
Kiwanja chote ni tambarare
LOCATION: PUGU (majohe) km 2...
Bagamoyo, Magambani - ukubwa wa 2,346 sqm
Kiwanja kinauzwa Bagamoyo mjini.@Tshs.35,000,000
- Dakika cha kutoka ufukwe wa bahari
- Kiwanja kina hati. 0752984000
Habari wakuu,
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bunju A Magurumawe, kimepimwa, eneo liko sehemu nzuri (kuna majirani) na sio bondeni, maji na umeme viko karibu, barabara inapitika vizuri!
Ukubwa wake...
Kiwanja kipo karibu na barabara
Location:
Street: Yange yange
Ward: Msongola
Destrict: Ilala
Region: Dar es salaam
12 km from banana (gongo la mboto)
1.5 km from kivule (frem kumi)
7.5 km...
TUNAUZA KIWANJA GOBA KULANGWA
Kipo Umbali Kilomita 1.5 Kutokea Barabara ya Lami ya Goba/Madale Jirani na Shule ya Msingi " Future Kings "
Kina Sqm 500 ( Mita 25 Kwa Mita 20 )
Kiwanja Kimepimwa (...
VIWANJA VYA MAKAZI MAPINGA KIMERE
Viwanja vya makazi vinauzwa Mapinga KIMERE
Viwanja vipo Mtaa wa Kimere ni Km 5 kutoka Bunju( Km 3 tu kutoka Mainroad Bagamoyo)
Vipo viwanja vinane(8)
Vipo...
Nyumba Ipo Goba Marobo, Umbali wa 3Km kutoka Goba Senta.
Nyumba ina Vyumba 4, Uwanja unaukubwa wa 400Sqm.
Umiliki; hati ya Ununuzi ya Serikali ya Mtaa.
Bei Tshs 17 Milioni
Our Contact ...
ARC Land Property ni wauzaji wa viwanja vya aina zote vya mkazi na biashara (hotel site, beach plot, nk) viwanja vinapatikana
KIGAMBONI
*VIWANJA VYOTE VIMEPIMWA NA RAMANI ZIMETHIBITISHWA(BLUE...
Viwanja vinauzwa goba maeneo ya lastanza upande wa kushoto kutokea masana vimepimwa na hati kila kimmoja kina square meters 1800 vilikuwa 6 now vimebaki 3 karibuni sana mwenye eneo anaishi hapo...
Eneo: Mkokozi
Wilaya: Mkuranga
Bei: Square Meter 1 - 12,000
Viwanja vipo mpakani kati ya Kigamboni na Mkuranga.....Kutoka daraja la kigamboni ni km 17 tu.
Viwanja vimepimwa yaani ukinunua moja...
Kipo Mwanza maeneo ya National mkabala na barabara inayokwenda Buswelu square meters 583 kimeshapimwa na hati miliki..Bei mil 19 haipungui na hakuna gharama za Dalali
Kwa aliye serious nipigie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.