Kiwanja kizuri kipo barabarani kabisa huduma za kijamii Kama maji umeme vinapatikana kizuri zaidi mawe yanapatikana Hapo hapo kwa wale wanaopenda kupigwa upepo hapa ndo sehemu sahihi.
Kiwanja...
Habari,
Je unataman kumilik ardhi na hujui utaipata wap?Karib kwetu tukusaidie update ardhi nzuri kwa bei nafuu kabisa
tunauza Viwanja na Mashamba,
VIWANJA
vipo KIGAMBONI
-kimbiji Golani...
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 2921 (zaidi ya nusu eka) kinauzwa.
Kiwanja kipo Kibaga- Kinyerez karibu na Songas-Kinyerezi Plant. Kiwanja kinafaa kwa shughuli za biashara, Makazi na...
Eneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili.
Bei: Tsh. 950,000/=
Umeme Upo na maji visima vipo karibu
Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18
Hakuna Dalalii
Piga namba 0627864823
Huduma za...
Karibu Obey new villege
Ni mradi wa viwanja vya makazi na biashara (kisemvule)
BEl SASA NI MILIONI 1.3 TU.Ni Viwanja Vizuri sana VIMEPIMWA. Piga /Whatsaap 0627952483
UKUBWA kwa kila kiwanja ni...
Habari, nauza shamba heka 10 na heka 4 zipo kijiji cha pili kutoka kimanzichana kilometer moja kutoka barabara ya kilwa.
Shamba la heka 10 ni shamba Pori linafaa kwa kilimo na ufugaji, matumizi...
Kiwanja kilichopimwa kipo Mwasonga, Kigamboni kilometer 30 kutoka ferry, ni kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa sqm 712 na sqm 725 kila kimoja nauza kwa million 5 unaruhusiwa kutanguliza Milioni 3...
Kiwanja kinauzwa, Kigamboni, Toangoma (Kituo funcity) mtaa wa malela kipo jirani na nyumba ya karoti.
Ukubwa Meter 26.5 * 20
Kina slope upande mmoja haiathiti ujenzi wako.
Bei milioni 6 (Neg...
Kiwanja kinabadilishwa kipo Mkurumuzi Tanga km 4 kutoka stendi mpya
Urefu 27m
Upana 22m
Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri.
Kiwanja bado hakina hati lakini kwa...
Kiwanja kipo Kimbiji kwa Moriss,km30 kutoka Kigamboni.Ukubwa ni mita20 kwa 20. Kipo jirani na barabara kuu lakini nje ya mawe ya hifadhi ya barabara.Kipo jirani na ufukwe(beach).
Panafaa kwa...
Kiwanja kinauzwa au kinabadilishwa kipo Kange Mkurumuzi Tanga
Urefu 27m Upana 22m
Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri. Kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna...
Kiwanja Kinauzwa ukubwa miguu 30 kwa 30 chenye vyumba viwili double self.Bei ni Milioni 10.5 mawasiliano 0757048829
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Kange Tanga
Urefu 27m
Upana 22m
Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum. Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri.
kiwanja...
MWANZA
Kiwanja kinauzwa nyegezi majengo mapya kilomita mmoja kutoka stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi
Kimepimwa na kina ukubwa wa mita za mraba 555
Bei yake ni 3 million
Mazungumzo yanakaribishwa
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Kange Tanga
Urefu 27m
Upana 22m
Exchange inafanyika kwa gari ndogo au bajaj viwe katika hali nzuri.
kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko Zingiziwa, Chanika wilaya ya Ilala Dar es Salaam. Kuna mto unapita katikati ya shamba hivyo unaweza kufanya kilimo cha umwagiliaji kwa...
Kiwanja kipo Mbezi Mwisho kilometa moja na nusu kutoka Morogoro Road njia nane na kilometer 2 kutoka Kituo kipya cha mabasi Ubungo .
kiwanja kimepimwa
Maji ya dawassa
Umeme
Na huduma zote za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.