mark 2 gx 110 ipo katika hali nzuri inauzwa sh 14 million, pia ipo rav 4 3door kwa 9 million, carina kwa 9 million. pia kwa anae itaji kununua anaweza kupata nafasiya kuyaona coz yote...
Iko kwenye condition nzuri. Dalali haitajiki...
Specification;
Bei: 8 milion
Blue matalic,
mwaka 2000,
petrol
5 doors,
frm Japan,
Cc 990
Transimison: auto
Tunahitaji pesa kumpeleka mzazi Wetu india kwa matibabu.
Gari iko kwenye condition nzuri. Dalali haitajiki...
Specification:
Blue matalic,
mwaka 2000,
petrol
5 doors,
frm Japan...
Ipo maeneo ya sinza karibu na lion hotel bei 150mil na maelewano yapo
sifa: Ni nyumba kubwa vyumba zaidi ya sita
:mabanda ya uwani yenye vyumba zaidi ya sita
:eneo la kutosha kupumzika...
Wana JM habari!,natafuta moja kati ya gari zifuatazo TOYOTA RAV 4 MILANGO 3, SUZUKI ESCUDO, TOYOTA PREMIO AU TOYOTA FILDER. ambaye ana moja kati gari hizo na ikiwa kwenye hali nzuri na anataka...
I gat 2 Blackberries both are 8520 model . charger moja (the other one got misplaced). NOTICE: nauza both sio mojamoja. the price is 400,000 (negotiations are allowed)
Heshima mbele wakuu .. Nahitaji nyumba ya kupanga yenye sifa zifuatazo vyumba viwili vya kulala ,sebule na jiko iwe ndani ya fensi na kaparking kakiaina bajeti ni 150,000-200,000/=...term za...
Nina viwanja vilivyopimwa na serikali na kupatiwa hati miliki maeneo ya kimara temboni njia ya matosa
venye ukubwa mbali mbali bei kuanzia milioni 12
simu 0769 431889 au 0715 478 478
ukiitaji...
Salaam Great Thinkers,
Nahitaji kununua kiwanja cha kujenga nyumba ya kuishi familia yangu. Mambo ya kuzingatia katika utafutaji:
1: Maeneo - Mbezi beach; Kilimahewa; Ununio; Mbweni; Tegeta...
Habari,
Nauza simu yangu ni bold 9780 iko katika condition nzuri kabisa. Sababu ya kuuza kwakua nimeagiza simu nyingine! Bei ndo hiyo 350,000/=
Nicheki kwa 0753196849...
Application
1. Vehicle rental/special tracking system for outside machine
2. Finance and insurance business tracking system.
3. Car commanding and dispatching system
4. Heavy construction vehicle...
Poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa letu la tanzania.kutakuwa na maombi ya kuliombea taifa letu la tanzania na kuvunja laana zote zilizowekwa katika ardhi ya tanzania.
Eneo ni safina radio...
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa two weeks na utapewa simu ya...
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa tu week na utapewa simu ya...
Wanajf naomba kujuzwa structure mpya ya kodi ya imported vehicle km ilivyopendekezwa na serikali kuanzia july 2012. Ktk website ya tra bado structure ya zamani inaonekana yenye kuelezea uchakavu...