Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Msaada kwenye tuta. Nataka kuagiza gari Suzuki Carry ya mwaka 1999. CIF ni USD 2146 mpaka Dar. Je natakiwa nijiandae kodi na malipo mengine kama bei gani? Vipi nikiwa naweza pata exemption? Msaada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni mpya imetumika miezi mitatu...bei laki 3..inapungua kidogo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza Blackberry Bold 9780 nyeusi + its pocket case ...ipo in good condition.!! #kama upo dar ni pm tufanye biashara hata leo.
0 Reactions
3 Replies
816 Views
Wakuu poleni na majukumu,,,,nilikua naomba kujua kwamba toyota vitz inaenda kilometa ngapi kwa lita....??
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Natafuta nyumba ya kupanga USA RIVER Arusha, iwe na vyumba vitatu vya kulala na parking. Mwenye nayo ani PM bei.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Laki 3. Bei ya mwisho kama unahtaji 0718340119 utanipata tuma msg. Zote zitajibiwa.
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Habari wanajukwaa. Nahitaji pikipiki ya 250cc preferably iwe Honda used lakini iwe katika hali nzuri. Iam a serious buyer. Mwenye nayo ani pm na bei.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga Moshi, iwe self ya chumba kimoja, au vyumba viwili double, ila pawe na parking ya kupaki gari. 0758-717754
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, ninahitaji iphone5 yenye 16GB , mwenye kuweza kunipatia ani pm
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Nauza Sony Experia Z imetumika mwezi Mmoja. Ina internal memory 16 gb Os Jelly Bean 4.0 upradable to 4.1.2 Water Proof Unlocked HD camera ya 13 Mp Min Sim card BEI Tsh 600,000 Mawasiliano...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wazee wapi naweza pata wapi au badilishana rims za mtumba na wauzaji. Nahitaji size 16 au 17. kama inawezekana kubadilishana nikaongeza hela sawa au kama zipo za kununua yote sawa. Rims zangu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya Rav 4, old model, gari ipo katika hali nzuri. mwenye kuhitaji naomba anitafute kwa namba 0754 426 997, au anipm.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Push the limits of ur dreams We desings houses of all kinds Its reliable and affordable with best services
0 Reactions
4 Replies
1K Views
We help professionals, senior managers and executives move into new and rewarding positions by providing a proactive, comprehensive solution to job search marketing. Send us your detailed CV to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau am looking for distribution company inisambazie documentary yangu. contact utaliijackson@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
905 Views
nahitaji chumba na sebule self contained,with kitchen mbezi mwisho,nyumba ikiwa mpya itakuwa more prefered,budget ni 120,000 tshs per month,kwa miezi 6.mwenye taarifa ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
samsung lcd 40inch series 5 full hd brand new boxed model series 5 503 price 1,000,000 tsh call 0713388226
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ipo katka hali nzur.. android 2.3.. internal memory 1gb.. whatsApp,instagram,etc.. ntakupa na memory card ya 2gb bure.. bei:90000
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Nimekutana na hiki kkundi kule facebook Tabora boys on facebook
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Jamani kwa walio Mwanza mnisaidie Duka gani linauza betri ya simu orijino, maana nishanunua betri kama2 kwa @15,000/= but zote kimeo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom