Msaada kwenye tuta. Nataka kuagiza gari Suzuki Carry ya mwaka 1999. CIF ni USD 2146 mpaka Dar. Je natakiwa nijiandae kodi na malipo mengine kama bei gani? Vipi nikiwa naweza pata exemption? Msaada...
Nauza Sony Experia Z imetumika mwezi Mmoja.
Ina internal memory 16 gb
Os Jelly Bean 4.0 upradable to 4.1.2
Water Proof
Unlocked
HD camera ya 13 Mp
Min Sim card
BEI Tsh 600,000
Mawasiliano...
Wazee wapi naweza pata wapi au badilishana rims za mtumba na wauzaji. Nahitaji size 16 au 17. kama inawezekana kubadilishana nikaongeza hela sawa au kama zipo za kununua yote sawa.
Rims zangu...
We help professionals, senior managers and executives move into new and rewarding positions by providing a proactive, comprehensive solution to job search marketing. Send us your detailed CV to...
nahitaji chumba na sebule self contained,with kitchen mbezi mwisho,nyumba ikiwa mpya itakuwa more prefered,budget ni 120,000 tshs per month,kwa miezi 6.mwenye taarifa ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.