Ukubwa wa kiwanja:
Kaskazini mita 8
Kusini mita 27
Magharibi mita 21
Mashariki mita 35
Kiwanja kipo kwembe ,kituo cha mabasi luguruni ( kwa mkuu wa wilaya ubungo) ,njia ya kuelekea ofisi ya...
-Kiwanja ni kikubwa sana kikiwa na ukubwa square meter 1350 (45 kwa 30)
-Kipo Mbezi Msumi njia panda ya kavimbirwa
-Kinaface barabara kubwa ya mtaa
-Kiko tambarare
bei; mil 16 ( mazungumzo...
Habari wakuu
Nauza kiwanja ambacho kipo Kimbiji Kigamboni
Kina ukubwa wa SQM 520
Kiwanja kina hati tayari toka ardhi
Umbali toka feri ni 35 Km
Kiwanja cha corner
Umeme na maji tayari
Mimi mmiliki...
Kiwanja Kilichopimwa Kinauzwa
Mahali: MbeziBeach Makonde
Kipo umbali wa dakika 3 kwa kutembea kwa miguu kutoka barabara ya lami ya bagamoyo.
Kiwanja Kimepimwa na kina hati safi.
Ukubwa wa...
Habari wana Jf kuna jirani yangu Mbezi beach upande wa Kushoto kama unaenda Tegeta na eneo liko tambalare amekata eneo lake kipande cha square meter 840 muuzaji nae yuko hapo hapo eneo lote lina...
Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456
wasiliana nasi kwa 0753...
Sifa za kiwanja
20*20m
Kina msingi wa kisasa
Vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning na jiko
Kinafikika kwa gari
Umeme na maji vipo karibu
Mazungumzo mengine yapo
Kiwanja Kinauzwa
Ukubwa: 800 Sqm
Eneo: MbeziBeach
Mahali: Mita 400 Kutoka barabara ya bagamoyo.
Bei: Tshs Milioni 80
Document zote zipo
Contact Us: 0716442950
UPDATE:
Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo.
LOCATION:
Mabwepande, Dar es salaam
Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali...
Hello JF.
Karibu tukuhudumie katika
Mahitaji ya kununua Nyumba katika maeneo mbalimbali ya jiji kama igoma nyegezi kisesa n.k
Kununua viwanja na mashamba ndani ya jiji la mwanza sehemu kama...
Kiwanja kizuri sana, Kipo Goba inayopakana na Madale/Mivumoni
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs...
Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami.
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs...
Kiwanja namba 79 block uu"
Eneo stand mpya maisaka katani.
Ukubwa 40m kwa 30m =1200m squares
Bei=milioni 2 unaweza tanguliza milioni 1 halafu inayobaki tutakubaliana namna ya kulipa.
Ambaye yupo...
Ofa ofa tshs 30,000 na 25,000 tu kwa sqm moja
Viko: mbezi msakuzi
Mahali: msakuzi kwa lipe.
Umbali mita 500m mpaka masakuzi center pia kutoka msakuzi mpaka njia panda ya goba na makabe 4km...
Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga.
Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo...
Eneo lipo vigwanza njia ya kwenda bandari kavu kwala,zipo eka mbili,Kila eka moja milioni tatu,mita chache kutoka barabara ya kwenda bandarini,linafaa kwa makazi,kuweka godown kwa ajili ya mizigo...
Kiwanja kinauzwa Kipo maeneo ya Njia nne, Buyuni Dar es Salaam,
Kimepimwa, Kina Hati, Kipo maeneo ya Hadhi nzuri kabisa,
Umeme, Maji, Barabara, Maduka, Shule ✓✓✓
Kina ukubwa wa Sqm 1010m²,
BEI KWA...
Kiwanja kinauzwa Kipo maeneo ya Njia nne, Buyuni Dar es Salaam,
Kimepimwa, Kina Hati, Kipo maeneo ya Hadhi nzuri kabisa,
Umeme, Maji, Barabara, Maduka, Shule ✓✓✓
Kina ukubwa wa Sqm 1010m²,
BEI KWA...
Beach plot for sale Bagamoyo
Viwanja vipo eka 3 na lina hati miliki kila eka moja bei yake 120million maongezi yapo.
[emoji1428] eka moja tsh: 120million maongezi yapo
[emoji3591]viwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.