SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+
1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=.
Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja...
🎤 WIRELESS MIC PRO
🎧 Sauti Safi Kabisa – Hakuna Noise!
✔️ Inafanya kazi na iPhone & Android (Type-C)
✔️ Plug & Play – rahisi kutumia
✔️ Perfect kwa TikTok, YouTube, Interviews & Recording
✔️...
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio...
Wakuu natumaini wazima wa afya kabisa.
Nimerudi tena jukwaani kwa mtu anayehitaji mbuzi, kondoo na ng'ombe kwa ajili ya kuchinja au kufuga nipo hapa kwa ajili yako na ushauri nakupa kama wa...
Habari,
Karibu kwa wasambazaji na wauzaji wakuu wa consumer electonics machine.Karibu dukani uweze kununua bidhaa mpya ikiwemo hisense,LG na samsung,
Jipatie
1.AC-all model
2.TV-all model...
Matairi ya malori yapo brand mbalimbali, kuna size zote na brand zetu ni
semes/ aurunze/ sky base/oben na gft, pia kuna paten ya diff/mixer/high way/ na nyinginezo.
Na tunauza kwa bei ya jumla na...
Mitandio ya Chiffon inapatikana. Zimebaki pc 3.
Ukubwa: Medium
Bei: sh 5,500/=
Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za...
ENEO ZURI, TAMBARARE LINAUZWA
UKUBWA: 7,021 square meters, sawa na 1.735 acres).
MAHALI: Kata ya Manchali, Wilaya ya Chamwino, Dodoma. Eneo lipo kando ya barabara kuu ya Dodoma - DSM. Ni umbali...
KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 YENYE SIFA YA KUTOTOLESHA MAYAI YOTE BILA KUBAKISHA HATA MOJA.
#SADAKALAWE
●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30
■Inageuza mayai...
GYGA LIGHTING GROUP hili ndio Tawi jipya linahusika na taa haina zote kwa mawasiliano kujuazaid 0788317776 save hiyo namba ili upate update za kila siku za mzigo uliopo na ulio ingia vyote...
Inahitaji matengenezo ya Pickup roller ili iweze kuvuta karatasi.
Ina hali nzuri sana.
Ipo Bagamoyo mjini,
Bei ni Sh. 200,000/- tu.
Mawasiliano: 0717002989
Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (Futi 12) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana;
2x2 - 2,500
2x3 - 3,700
2x4 - 4,700
2x6 - 7,000...
Magauni quality ya mtumba
Premium grade hii ni zaidi ya grade A
Mengi bado mapya yana Lebo zake
Tunauza Jumla kuanzia gauni 15.
Gauni bei ni sh. 8,000 - 15,000
Karibuni
Tupo ubungo Mawasiliano...
Boxer 150HD Motorcycle
Strong and reliable engine
Excellent condition — ready to ride
Ideal for town or upcountry use
Location: Ilemela, Mwanza
Call / WhatsApp: 0768196647
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.