Magauni quality ya mtumba
Premium grade hii ni zaidi ya grade A
Mengi bado mapya yana Lebo zake
Tunauza Jumla kuanzia gauni 15.
Gauni bei ni sh. 8,000 - 15,000
Karibuni
Tupo ubungo Mawasiliano...
SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+
1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=.
Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja...
Boxer 150HD Motorcycle
Strong and reliable engine
Excellent condition — ready to ride
Ideal for town or upcountry use
Location: Ilemela, Mwanza
Call / WhatsApp: 0768196647
Viatu vikali hivo hapo angalia kipi kina waka kwako zipo simple raba za kike 30,000Tsh na Nike 38,000Tsh.
Vipo viatu kama Nike vikali, scorpions nzuri, sebago, airmax, airforce, jordan...
Pata vitabu 2 kikiwemo kitabu cha FIKIRI NA UTAJIRIKE (THINK & GROW RICH-SWAHILI EDITION) kwa shilingi elfu 10 tu,
Kitabu cha 2 ni, MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI, Offa hii haihusishi...
Habari wanajf,
Kwa wanaohitaji huduma ya Logo/nembo kwa ajili ya Taasisi na Biashara Karibu nikuhudumie.
Vile vile nadesign Social media Posters Kwa ajili Ya kupost kwenye page ya...
Ni mashine yenye uwezo wa kuchana mbao nyingi kwa mda mfupi na kwa kutumia watu wawili tu.
Pia ni chombo kinachobebeka kwa maana ya kuhamishwa mara kwa mara.
Zipo za aina mbili Inayotumia...
Mashine ya mayai 30 ipo kwenye offer kila mtu apate bei ni 150,000/= TSh.
Zipo pc 100 tu.
Karibuni
Tupo Dar es Salaam Tegeta kwa Ndevu darajani njia ya kwenda jeshini.
Wateja wa mikoani...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
Habari nauza mashine hiyo hapo.
Kwa ajili ya kutengeneza lambalamba ni ya kubeba na kuanza kazi inauwezo wa kubeba tray moja ya pieces 40 na mzigo unaganda baada ya dakika 15.
Uzuri wa hii...
MWISHO WA MNADA, WA BEI RAHISI.
MTEJA UTAKAEKUJA FAHAMU BEI SIO TENA 10M
KAMA umejipanga na 10M usisumbuke Kunitafuta.
GHARAMA YA SASA NI 17M bei ikipungua itashuka MWISHO 16M
Na Sio HEKA 2...
Land Cruiser Prado TX
Price 19,300,000/- millions Tshs with full document and insurance cover note!
~Engine 3RZ Petrol
~Automatic Drive
~Low mileage
~Engine cc 2600
~New tyres✅
#0718 578 433...
Habari zenu,nauza vitu hivi vipo kwenye hali nzuri
1. Computer Dell precion t 3210 work station ina sehemu ya kuweka ram 8 slots, hii mashine hatari sana kwenye biashara ya movies shop...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.