Viatu vya aina zote karibu uchague unachokipenda then ntakufikishia popote ulipo ndani ya Dar es salaam kwa garama zangu mwenyewe.
Kwa walio Dar es salaam nakuletea free na mikoani unatumiwa kwa...
Kwa anayehitaji Midoli ya Kuuzia Mawigi tuwasiliane. Ipo zaidi ya 20. Nauza sababu nimebadilisha biashara.
Nipo Goba Dar-es-salaam.
0713794962
bei ni 9000tsh kila mmoja
Je, unahitaji kampuni bora sana ya kusimamia tukio lako? Inaweza kuwa harusi, mahafari, mikutano, washa na tukio lolote linalohitaji usimamizi wa kina?
Basi usiwe na mashaka, kampuni ya Joex...
Nahitaji tent classic, na fundi mzuri wa kupamba tent, kutengeneza keki ya harusi, na awe anapatikaba Mbeya mjini au wilaya za karibu na Tukuyu.
Tukio ni mwezi wa tano, kwa yeyote mwenye...
Toyota vitz Inauzwa milioni 6. Mazungumzo kidogo yapo.
Milango mitatu,
engine 1Sz
cc 997
Mileage 104771km
Android Radio (Screen)
Full AC
Ipo Dar Mbezi ya Kimara
0768882785
Update
Gari...
Nauza suzuki vitara namba D gar bado mpya tangu imeagizwa toka japan haijatembea sana
Gari ni ya mwanamke ni manual
sababu za kuuza: ni manual transmission yeye anataka automati
Location...
Wakuu habarini za muda huu,
Natafuta mtu au watu ambao wanafanya kazi katika sekta ya utalii,naomba unicheki inbox nina swala nahitaji msaada.
Nawakilisha
Habari za jioni wanajf natumaini mko poa
Naomba msaada wa kufaham soko Zuri la mahindi ndani na nje ya Tanzania lakn pia naomba kufaham namna ya kupata kibali cha biashara hii ya kusafirisha mahindi
Tanzania fence factory:(0789020813) tupigie.
Tunatengeneza na kuuza fence wire aina zote na senyenge Kwa bei ya kiwandani.
2.0mm bei yake ni 55,000/=
2.5mm bei yake ni 75,000/=
2.5mm(kijani)bei...
Habari watanzania!
Husika na kichwa cha habari kwa MTU aliye na Gari ya kuweza kokoto kuanzia cubic metre 10 na anapenda kuitumia zana yake kujipatia kipato nione.
Barabarani ni ya vumbi ama...