Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nimehama makazi ila kuna vitu vya ndani sijahama navyo hivyo navitoa bure kwa mtu anahitaji(mwenye shida kweli) au kama unamjua anayehitaji. -Godoro zima kabisa -Nguo- mashati, Tshirts na surual...
3 Reactions
4 Replies
444 Views
Zara OG sinaga kazi mbovu 40000. Karibu sana, ni ngumu mno hivi viatu na ni fashionable ndio habari ya mjini kwa sasa. Size zilizopo ni 37, 38, 39, 40 41 na 42 No za order ni 0712163738. TUPO...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza kitanda na godoro Kitanda ni 5/6 mbao ni mninga Godoro ni QFL dodoma nchi 8 ukubwa ni 5/6 Vyote nauza kwa 300k tu sababu ya kuuza ni alikuwa anatumia mwanangu now nmemnunulia vipya Karibu...
1 Reactions
4 Replies
692 Views
Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko). Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo...
2 Reactions
4 Replies
533 Views
Banda lisiwe kubwa sana just size ya fut 5 x5 au 5x6 Location mwanza, lisiwe chakavu nitafurahi likiwa maeneo changamfu au kama bado halijaingia sokoni sio mbaya nicheki dm
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Ni mambo machache ambayo ni muhimu kwa afya zetu kama maji. Kila seli, misuli, na kiungo katika miili yetu hutegemea maji kufanya kazi ipasavyo. Lakini kuna tatizo: Sio maji yote ya kunywa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira Karibu...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari zenu Karibuni seti ya TV show case na coffee table yake. Zimefka full seti n 370,000 Tu bei ya jumla. Tv show case pekee au meza pekee n 230,000. Zpo chache. Nafanya Delivery dar na...
1 Reactions
2 Replies
541 Views
Habar za siku nyingi wakuu. Kama title ya uzi ilivyo. Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi. Eneo pendekezwa ni kama: Temeke Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)...
2 Reactions
8 Replies
795 Views
Habari wakuu nahitaji KUjua ni wapi naweza kupata kioo cha tv maeneo ya Mwanza!?
1 Reactions
1 Replies
559 Views
Okoa gharama ya kununua taa mpya za gari yako, Kwa kusafishiwa kupitia njia ya kisasa kabisa ambayo inazifanya taa zako kurudi katika ubora wake Huduma hii imewavutia watu wengi wa jiji la...
2 Reactions
11 Replies
791 Views
ECO FARMS INNOVATIVES ni wasambazaji wa mashine za kisasa zenye ubora “Automatic” za kutotolesha vifaranga vya kuku, kwale, kanga, bata n.k. zenye ubora kwa bei nafuu. Zipo za mayai 48, 96, 176...
1 Reactions
59 Replies
33K Views
Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote. Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe...
3 Reactions
69 Replies
3K Views
Kibaha msangani juhudi. Kipo karibia na stend ya bajaji Km 5 KUtoka morogoro road Ukubwa mita 20 kwa 20 Milioni tatu na nusu. Barabara nzuri ya lami. Umeme na maji vimefika.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
[emoji3493][emoji3493] 𝐓𝐔𝐍𝐀𝐔𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐎𝐃𝐎𝐑𝐎 𝐍𝐀 𝐕𝐈𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐁𝐄𝐈 𝐏𝐎𝐀[emoji736] [emoji673]0763542515 sms/WhatsApp 0763542515 [emoji593]🛻[emoji597]𝐔𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐍𝐈 𝐁𝐔𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 𝐏𝐎𝐏𝐎𝐓𝐄 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈 𝐘𝐀 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒...
5 Reactions
228 Replies
38K Views
Karibuni boss zangu. Iphone X zipo za kutosha tupo kariakoo .storage 64gb,256gb . Kwa mawasiliano piga 0695022051 Whatsapp 0734123440
0 Reactions
25 Replies
2K Views
-Nauza Plots -Kibaha, Zegeleni. ziko Mbilil, zimeungana kilometa 7 kutoka lami(Kituo cha Madafu).zimepakana na kiwanda cha Kuzalisha Mayai. Jumla ya square meter 1388. Zina Hati Miliki ya Wizara...
2 Reactions
6 Replies
576 Views
Nahitaji Nyumba ya kununua ofa ni milioni 10 Lazima iwe ndani ya mkoa wa Dar. Maeneo ya Bondeni ❌ Piga simu usitume sms 0749979776
0 Reactions
11 Replies
483 Views
Nauza compressor 50ltr aina ya edon, tsh 250,000/-.ipo mbezi beach karibu na masana hospital.
0 Reactions
13 Replies
767 Views
CHUKUA HII🔥: Je, Unatafuta Fundi Laptop & Desktop na smartphone ambaye anatatua Matatizo haya? TUSTARY GRAPHIC DESIGNER AND WEB DEVELOPER. Najikita kuhakikisha nafanya Uchunguzi (Diagnosis) ya...
1 Reactions
0 Replies
407 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…