Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Huduma zifuatazo njoo nikuongoze 1. Tin application 2. Line za wakala na za lipa 3. Usajili wa jina la biashara 4. Utengenezaji wa logo, poster, stika, busines cards na kuziprint 5. Uandishi...
1 Reactions
0 Replies
220 Views
Wakuu, Nina shida ya kiwanja kiwe kuanzia maeneo Maramba, Salasala kuelekea Bunju au Kibamba ila kusiwe ndani ndani sana.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Bei ya jumla ni PC 10 kwa 130k tu lakini piah ni 25,000/- Kuna edition nne za Scientific calculator na bei zinatofautiana lakini Casio fx 991 Ms first edition ndo bei zake hizo nafuu #usipigwe...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Nahitaji kiwanja kwa bajeti ya 5mil maeneo ya kigamboni chanika gongo la mboto
1 Reactions
4 Replies
574 Views
Paka wa kufuga anahitajika awe mdogo kabisa ambae hana mazingira ya kumuogopa mtu ili nianze kumfuga awe mzuri, mimi nipo Kigamboni ofa yangu ni 30,000, na 5000 ya nauli. Awe paka msafi mdogo...
15 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar Kiwengwa, kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea. Kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakini pia kwa biashara Nauza...
2 Reactions
12 Replies
782 Views
TV ziko poa kabisa na ni mpya zilikuwa sampo dukani bei yake ni Tsh170,000/= mikoani pia tunatuma ila gharama ni za kwako mwenyewe, tunapatikana Kariakoo mtaa wa Msimbazi karibia na jengo la...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Shalom....! Najua JF imebeba Watu aina tofauti na Malengo tofauti wenye Imani tofauti...! Ninahitaji kuwasiliana Nabii yoyote ambaye Mungu anamtumia, awe na Kanisa ama hana ni sawa...! Kuna...
1 Reactions
8 Replies
630 Views
INAPANGISHWA CHIDACHI-DODOMA ________ MAHALI-CHIDACHI DODOMA (INATAZAMA BARABARA YA LAMI) ________ MUUNDO (ZIKO 02 KWENYE FENSI,KILA MOJA NA GETI LAKE) -VYUMBA 02 VIKUBWA(01 masta) -SEBULE...
4 Reactions
7 Replies
799 Views
Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 60 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga … mwenye uhitaji anicheki namba za simu 0612630936
0 Reactions
4 Replies
879 Views
Natanguliza salam kwenu Wana jukwaa. Kama kichwa kinavyojieleza, nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Dar es Salaam natafuta Furnished 1 bed room. Natafuta budget yangu ni 450k. Kama kuna MTU...
1 Reactions
5 Replies
696 Views
NAUZA PLOT, KIBAHA MADAFU/ZEGELENI. KM 5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD. Huduma za jamii zimefika... Maji,umeme, hospital, Total area ni 1400sq meters. Ina hati miliki Vimepakana na Kiwanda...
0 Reactions
3 Replies
544 Views
Mashine ya kumenya viazi na mihogo, imara na yenye ifanisi wa hali ya juu sana. Bei ya kutupa,mwenye kujua thamani yake haulizi mara 2. Nawakaribisha tufanye biashara. Bei 900K. Nipigie 0625697394
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
1 Reactions
3 Replies
978 Views
Jamani Mgosi nawaletea dili hili, kama una shida ya pesa ya fasta bila kupoteza. TV INCH32, Kampuni PineTech Flat screen ya kawaida pesa -100k cash
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Namtafuta shamba la kununua morogoro
1 Reactions
10 Replies
863 Views
Toyota Harrier hybrid new model (eah) Year 2015 Cc 1980 Mileage-77800km Winker mirror Fog light Push to start Location-Dodoma Bei-55m
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini, Kuna bidhaa ambayo inaitwa TOMATO PASTE hizi ni nyanya zilizochakatwa kiwandani na hutumika kama mbadala wa nyanya halisi. Kuna wakati hapa nchini kunakuwa na shida ya nyanya halisi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kumiliki gari na mm.hv sasa Nina guta ila nimeona Kaz zangu inahitaji pro box Naombeni Kam Kuna . member anato aniuuzie Bajeti yangu Ni 4m , Nataka niuuzr guta nimiliki pro box Faida...
1 Reactions
0 Replies
545 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…