Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natanguliza salam kwenu Wana jukwaa. Kama kichwa kinavyojieleza, nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Dar es Salaam natafuta Furnished 1 bed room. Natafuta budget yangu ni 450k. Kama kuna MTU...
1 Reactions
5 Replies
682 Views
NAUZA PLOT, KIBAHA MADAFU/ZEGELENI. KM 5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD. Huduma za jamii zimefika... Maji,umeme, hospital, Total area ni 1400sq meters. Ina hati miliki Vimepakana na Kiwanda...
0 Reactions
3 Replies
536 Views
Mashine ya kumenya viazi na mihogo, imara na yenye ifanisi wa hali ya juu sana. Bei ya kutupa,mwenye kujua thamani yake haulizi mara 2. Nawakaribisha tufanye biashara. Bei 900K. Nipigie 0625697394
3 Reactions
9 Replies
990 Views
Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
1 Reactions
3 Replies
948 Views
Jamani Mgosi nawaletea dili hili, kama una shida ya pesa ya fasta bila kupoteza. TV INCH32, Kampuni PineTech Flat screen ya kawaida pesa -100k cash
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Namtafuta shamba la kununua morogoro
1 Reactions
10 Replies
842 Views
Toyota Harrier hybrid new model (eah) Year 2015 Cc 1980 Mileage-77800km Winker mirror Fog light Push to start Location-Dodoma Bei-55m
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini, Kuna bidhaa ambayo inaitwa TOMATO PASTE hizi ni nyanya zilizochakatwa kiwandani na hutumika kama mbadala wa nyanya halisi. Kuna wakati hapa nchini kunakuwa na shida ya nyanya halisi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kumiliki gari na mm.hv sasa Nina guta ila nimeona Kaz zangu inahitaji pro box Naombeni Kam Kuna . member anato aniuuzie Bajeti yangu Ni 4m , Nataka niuuzr guta nimiliki pro box Faida...
1 Reactions
0 Replies
532 Views
itakayo weza kukupa uhakika wa matumizi ya simu yako Vaa mkanda twende pamoja ๐Ÿ”‹๐Ÿ’ก Chaji Bila Wasiwasi na Green Lion 22.5W Power Bank ๐Ÿ’ก๐Ÿ”‹ Karibu kwenye thread yetu kuhusu power bank ya Green Lion...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Furniture za Bei nzuri hizi hapa
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Ndugu zangu , siku ya leo nawaletea SONY PS4 PADS Full ku enjoy Hii inaenda kwa 70,000/= tuuuuu Karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa aggrey/ndanda Tupigie au wasap - 0659588492 Maongezi yapo ...
0 Reactions
1 Replies
626 Views
Onsat on 3 ni moja Kati ya ving'amuzi visivyo vya kulipia kwa mwezi yaani Frre To Air Receiver ambayo itakuwezesha kutazama chaneli nyingi bila malipo yoyote kwa mwenzio unachotakiwa kujua Ni kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ช ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜บ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฐ ๐˜œ๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช ๐˜๐˜ช๐˜ช ๐˜๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ต๐˜ฆ.....! ๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ ๐—ก๐—ฑ๐˜‚๐—ด๐˜‚.... ๐˜๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ธ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ต๐˜ข๐˜ง๐˜ถ๐˜ต๐˜ข ๐˜๐˜ช๐˜ง๐˜ข๐˜ข ๐˜ท๐˜บ๐˜ข ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/ ๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜’๐˜ช๐˜ฑ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ฐ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜š๐˜ถ๐˜ญ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Wadau, Naombeni msaada wapi nitapata Mashati na suruali kwa bei nzuri hapa Dar na Quality ya ukweli. Mimi hupendelea mtumba sababu unakuwa wa tofauti kidogo kuliko Dar Combine. Anywhere but not...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za mvua Wadau. Nahitaji nyumba ya kununua maeneo ya kuanzia Ubungo kuelekea Kibaha. Kwenye Mfuko wa shati kuna TZS. 30M. Mawasiliano piga 0784636291. Ahsante.
2 Reactions
8 Replies
756 Views
CAM STORE Tumekuletea BioEarn Feed Additives ama nyongeza ya malisho. Virutubisho vya BioEarn vimetengenezwa kitaalamu kwa kutumia Unga wa mimea yenye Vitamini na Protini nyingi katika uwiano...
0 Reactions
5 Replies
833 Views
Engine Capacity Cc: 1790 Mileage: 65,000km+ Engine Code: 271 Fuel: Petrol Standard Features: 8-SRS Airbag Auto Folding Exterior Mirrors Steering Switches 19โ€Alloy wheels Leather Upholstery...
0 Reactions
4 Replies
788 Views
Wana jamii forum nasafisha Banda kuku broiler wa wiki nne na siku 2 - 85 wamebaki na kila mmoja nauza 5500 ..wanapatikana mbweni jkt. Kwa mawasiliano 0612630936
1 Reactions
0 Replies
446 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ