Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Haya wadau, Nauza nyumba ambayo itahitaji maendelezo kidogo kwenye eneo zuri la Gangilonga. Kiwanja ni kikubwa mno na unaweza kujenga nyumba nyingine kubwa kwa nyuma. Kipo maeneo ya Gangilonga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
*Kiwanja Kipo Goba Tegeta 'B' *Ukubwa 1200 Mita za Mraba. *Gari linafika hadi kwenye kiwanja. *Umeme Upo jirani. *Hakina hati wala hakija Pimwa. *Hakina Migororo, Mwenye kiwanja anaishi hapohapo...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Hey wadau, nimeichoka simu yangu ila bahati mbaya siwezi kuitupa. So kama kuna aliye na simu original iliyo kwenye hali nzuri na yenye thamani isiyopungua laki mbili na nusu then nitafute tuone...
0 Reactions
6 Replies
922 Views
kama unahtaji nicheki
0 Reactions
0 Replies
728 Views
1. Ukubwa: Hatua 47 kwa 20 2. Mahali: Jirani na chuo cha elimu 3. Kinafaa kujenga nyumba ya kuishi au lodge. Mawasiliano: 0715237973
0 Reactions
2 Replies
898 Views
External ipo ktk hali nzuri
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kibamba njia panda karibu na kibamba mwisho kiwanja kiko karibu na barabara ya morogoro kiwanja ni tambarare ukubwa 30*25 bei ni tsh 12mil maongezi yapo mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ni dell, 2.8 ghz,ram 256mb,120gb,cdrom,90000 No 0658327429,dsm
0 Reactions
1 Replies
712 Views
Natafuta maduka yanayouza simu original kwa Dar es salaam. Nahitaji Samsung galaxy note 3, htc na Samsung galaxy s5. Msaada please.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ipo ktk halinzur sana pia ina support mitandao yote ya kijamii kama whtspp,instagram n.k Bei tsh 60,000/=tu Call 0713943432
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza samsung galx s5 ina siku 3 tangu nimetumiwa bei tsh.600,000/= mwenye kuitaka anijulishe
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vitu mbali mbali vinauzwa System, Radio ya Sonny whats 4600 beiyake-300,000/= Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=, Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa-...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HTC 620g dual SIM 5ins. screen Android 4.4.2 8GB internal memory with micro-SD slot Original accessories, box + back case cover Color dark & light grey. Phone is in VERY good...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nauza Samsung notebook pamoja na external aina ya transcend StoreJet 25M3 USB 3.0 original (serial zimekuwa verified) hard disk terabyte 1 kwa laki 330. Specifications za laptop...
0 Reactions
3 Replies
936 Views
Tunafanya; -Web design -domain registration -create private email accounts -Web hosting all year Kwa gharama nafuu sana. Contacts: 0657 070 525 for more information..
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Pata domain + hosting (400 mb) kwa Tsh 70000. Pata domain + hosting (1GB) kwa Tsh 130000. Unlimited sub domains Unlimited emails Unlimited database Free DNS Management Free setup Transfer...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Natafuta kibaraza cha kuuzia chips, maeneo yenye movement ya watu wengi.
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Habari zenu wakuu, Ninahitaji used Tv inchi 42 kampuni yoyote lakini iwe bei poa na isiwe mbovu. Mwenye nayo au anaefahamu ni wapi naweza ipata tafadhali aweke details hapa.
0 Reactions
2 Replies
990 Views
KARIBU TANZANIA EDUCATIONAL PUBLISHERS LTD (TEPU), UJIPATIE VITABU MBALIMBALI VYA KILIMO NA UFUGAJI,HAKI NA SHERIA ZA WANANCHI,AFYA,VITABU VYA WATOTO,HADITHI/RIWAYA,SIASA NA MAENDELEO. N.K, KWA...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nauza Samsung notebook pamoja na external aina ya transcend original(serial zimekuwa verified) hard disk terabyte 1 kwa laki 330. Specifications zake kwa haraka haraka hizi 4 GB RAM...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…