Jipatie Tshirts na Bukta Kali Sana Za Mtumba Kutoka Kwetu
T-shirts - 8,000(Fixed Bei Ya Ofa)
Bukta - 10,000
Unaweza Kutucheki Instagram @dj_mitumbagradeone Au Tupigie/WhatsApp 0657576369 Ujionee...
Habari ya leo ndugu waTanzania na wote msomao mada hii. Hope you are good with your life.
Leo napenda niwape ushuhuda wa maisha yangu jinsi fridge lilivyo badilisha maisha yangu na kuongeza...
Nina Kamera mbili nilinunua nikiwa naanza kujifunza maswala ya picha, kwa sasa sizitumii, bado ziko kwenye hali nzuri sana, nauza kwa bei ya kutupa.
Sony nex-6
Iko na chaji yake na kit lens...
Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video...
Habari wana JF
Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10...
Hili ni Trailer la mtumba kwajili ya kubeba mizigo ya Abnormal,ukubwa wa exle 4, liko Johannesburg South Africa, bei yake ya manunuzi pamoja na ushuru usafiri ni 160ml Tsh, wasiliana na kwa...
Ramani ya nyumba hii ina;
-Vyumba vinne vya kulala
Kimoja master,kingine self na viwili vya kawaida
-sebule
-jiko
-store
-dining
-public toilet
Ina ukubwa wa mita 17 kwa 13
Kwa mahitaji ya...
Suti_mikoani ni wauzaji wa suti za kiume Kwa ajili ya sherehe za harusi, ofisini, vikao na matukio maalumu.
Tunatuma mikoani kwa uhakika na haraka zaidi na wateja wetu wa Dar es Salaam tunafanya...
Nando technical company
Watoa huduma za kisasa zaidi zenye gharama nafuu
CCTV CAMERAS INSTALLATION
ELECTRIC FENCE INSTALLATION
ALARM SYSTEM SECURITY
AIR CONDITION SUPPLY AND INSTALLATION
FIRE...
Habari naitwa Josephat Charles.karibu kwenye kampuni yangu people electrical Tanzania sale center. makao makuu ya ofisi ni china. ila tuna station office hapa Dar es Salaam kariakoo. Swahili...
Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa.
Vifaa vilivyopo ni Drayer za kukausha 2, Drayer ya mkono 1,
Drayer la stima 1,
kioo kikubwa kimoja,
rolas na tray ya rolas.
Bei Tsh. Laki tano (500,000/=)...
Habari wakuu za kwenu? Hope mko poa.
Niko na 4G POCKET WIFI nili nunua airtell kwa thamani ya shilingi 50k
Ina offer ya 5GB kila mwezi pale unapo weka kifurushi cha mwezi mfano ukinunua GB 4.5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.