Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mwenye room maeneo hayo tuwasiliane hasa wanafunzi mliomaliza UD mwaka huu muuze na vitu vyenu vya ndani mrudi nyumban. Nipm kama unacho.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ipo ktka hali nzuri npigie 0652292222
0 Reactions
3 Replies
1K Views
yes
0 Reactions
3 Replies
6K Views
1. Vacuum cleaner (kwa ajiri ya kuondolea vumbi sehemu mbali mbali kama carpets) 2. Gardening pressure mashine (kwa ajiri ya kusukuma maji kwa ajiri ya kuoshea vitu kama magari au kumwagilia)...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Kiwanja kinauzwa eneo la Nkuhungu barabara ya Singida karibu na yard ya Bhanji ukubwa Ni hekari 3.5 eneo lina hati halali ya CDA bei Ni 25M wasiliana Nami kwa 0685-411-882
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nina shida nauza friji kwa 270,000 Wasiliana nami kwa simu namba +255764361843 nipo Kimara Mwisho jijini Hapa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nasisitiza piga hizo namba hapo juu kwa mahitaji ya kutengenezewa mageti, grill za milango na madirisha,vitanda vya chuma kwa matumizi ya nyumbani, hostel,guest house, pia viti vya chuma kwa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
bei mil 15 tu bado mpya tumefanyia kazi miezi sabab,tuliagiza kutoka Pretoria na inatumia umeme inapiga tofali mpaka 1000 kwa siku
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Iphone 4 16Gb white Good condition 250,000 na Iphone 4S 16Gb good condition 320,000. 0716163696
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Tunauza na kununua magari used, pia vifaa vya electronics, nyumba na viwanja. Pia tunatoa ushauri wa biashara, kodi pamoja na kuandika business plans and project proposal. Hotlines 0787074898...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Habari Jf, Natafuta Toyota Hiece kwa 7m~10m. Kama kuna mtu anauza aje pm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pikipiki aina ya King Lion yenye miezi tisa inauzwa. Ipo katika hali nzuri na haijawahi kupata matengenezo makubwa. Inatembea na kufanya kazi zote na inafanya kazi za Bodaboda. Mwenye kuhitaji...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nimeambatanusha picha, mwenye kujua jina la haya mawe na thamani yake naomba anijuze.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
SIMU tajwa hapo juu ni almost mpya nimeitumia kwa wiki 2 nauza shiling laki Tatu tu kwa maelezo zaidi unaweza kunicheck kwa 0686274501 najaribu kutuma picha naona zinazingua I will try again later
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Kwa anayehitaji projector jaman, anicheck kwa no 0715 546818
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Wajuzi wa mambo, Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S4 imecrack screen hivi naweza pata screen ya kubadilishia na ikafanya kazi vizuri? Nipo Dodoma
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Kwa mahitaji yako ya Kuprint T-Shirt, Kofia nk. Usisite kuwasiliana nasi. BLEM TEXTILE ART +255 658 202 011 Karibuni Nyote.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga eneo la nyakanazi yenye sifa zifuatazo: iwe na vyumba 3, iwe na choo na bafu, iwe imepigwa lipu na sakafu. Kwa mawasiliano piga 0765354360 au 0688354360
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haloo, Nahitaji simu tajwa hapo used btu in mnt condition Nipo Dar kama unayo ncheki 0714547830 whatsap Ukija njoo na picha with bei
0 Reactions
2 Replies
845 Views
Tunawatangazia mkutano mkubwa wa injili katika kanisa la FPCT Nyakanazi utakaoanza 15.07.2015 hadi 19.07.2015.mwinjilisti machachari, wa kimataifa, Mch. ERASTO NDEBEREHO atahudumu. Kwaya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…