Habari Wana JF.
Wakuu nimeleta mashine za kilo 7 za kufulia, aina ni Dnyker, high quality brand kutoka China ikifanya mauzo vizuri sana bara la Ulaya (Europe)
Zina uwezo wa kufua, kusuuza na...
Nauza machine ya katungeneza kahawa , capuccino etc. Inaweza kutumika ofisini , nyumbani, au hata kwenye biashara kuuzia chai na kahawa.
Machine iko automatic na inaweza kukupa hesabu ya vikombe...
Mtambo mdogo wa kuua Mbu pamoja na Dawa zake ⚕
Hakuna moshi, hakuna harufu mbaya ⚡️
"Kwa Tsh 11,000 utapata
-Mashine
-Dawa Box 1
-Free Delivery 🚚
Price 11000 Tsh
☎️ WhatsApp...
Kwa wale ambao Computer Laptop au Computer Desktop zao ni nzito mpaka unahisi kero usijali.
Mzigo huu hapa SSD SATA III GB 512 kwa Tsh 80,000/= tu unafurahia maisha kwa Computer yako kuwa chap...
Mali bado mpyaa zina mabox yake na documents zake hakuna ujanja janja, sababu za kuuza ni matatizo yanayohitaji hela ya haraka
Home theater Og ya LG WATS 1000
Ina spika 4 na mja ndogo mziki...
Jodam-supply utapata kampuni yoyote ya tv kwa bei ya nafuu ,ambapo sehemu nyingine huwezi kupata
Unaweza kulipia kidogo kidogo bidhaa zetu utapewa mkataba maalumu
Mfano
Tv inchi 32 aina ya...
OFFER OFFER
🔴MONEY COUNTER MACHINE / MASHINE YA KUHESABIA HELA
.
.
🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services, epuka kupoteza pesa kwa kuchanganya...
Karibu nikupatie ramani ya vyumba vitatu kwa shiling 20000 tu ina
.sitting room
.dining room
.korido
.public toilet
. 1 master bedroom
.2 normal room
.vibaraza viwili mbele na nyuma
Nb haina jiko...
Habari wanajukwaa nauza perfume za kike na za kiume kwa bei ya 40,000 tu na ni brand ya kizawa kabisa
Inakaa muda mrefu na inaweza kusikika harufu yake kwa umbali mrefu,napatikana Dar es Salaam...
Habari zenu wadau.
Habari njema kwenu nyote wana teknolojia, Karibu ozone ujiptie SSD, RAM na Vioo vya laptop kwa bei rahisi na nafuu. SSD, RAM na Vioo vyetu ni vipya kabisa kwa maana ya kwamba...
Habari za jioni nipo Dar es salaam nauza Rim paper size ya A4 gm 80 kwa bei ya sh.55,000 kwa kila carton mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu kwa maelezo zaidi nicheki 0789386320.
Karibuni.
Habari wana jamii
Poleni kwa majukumu ya kujenga taifa
Contena zina ukubwa wa 20ft
Zina documents zote za umiliki
Zipo kwenye hali nzuri
Location: chang'ombe
Price: 4.3m
Mawasiliano: 0656 387577
STREETLIGHT
Karibu Ujipatie Taa yenye Muonekano Mzuri na Yenye Mwanga wa Kutosha kumulika Eneo lako.
Taa hizi za Streetlights unaweza Kuifunga katika Hotel, Shambani, Godawn, Shuleni, Barabara...
Printer hp 7500 a wide format------laki 3
Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu
Sigma lense 170-500----------------laki 4
Studio light na background yake laki 4
Kwa maelezo zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.