Habari
Naomba kutangaza fursa kwa watumishi wa umma ya uwepo wa mkopo wa BAJAJI GUTA AU PIKIPIKI pasipo kuwa na mdhamana na kianzio chochote. Hii ni Sabi mtumishi wa umma tupi katika mfumo wa...
Habari,
Suala la usafiri, iwe ni usafiri wa kibiashara au usafiri binafsi ni muhimu Kwa maendeleo ya Taifa na wananchi wanalitambua Hilo changamoto huja katika kumudu gharama za Kodi, bima...
Habari wote,
Kama kawaida nawaletea mfumo wa kusimamia mahesabu ya nyumba au apartment za kupanga.Huu ni mzuri zaidi kwa wale wenye nyumba nyingi/apartment na wanahitaji kuweka records vizuri na...
Ninauza eneo/kiwanja changu chenye ukubwa wa heka tatu (3 acres). Eneo hili linafaa sana kwa ajili ya ujenzi wa makazi, shule, au miradi mingine mbalimbali.
Eneo lipo mkoa wa Mwanza wilaya ya...
nauza samaki wa kufuga aina
tofauti na ntakeletea mpaka
ulipo kwa bei nafuu
gapi pea
5000
red pea
10000
gold pea
10000
gold wakubwa 30000
gulam 20000 Picha...
Tujulishane kama una magari mabovu, chuma, copper, brass, alluminium, cast, betri mbovu ya gari nk... Tuko Mikocheni aDar es salaam. Pesa yako unalipwa hapohapo, bei zetu ni nzuri.
Wakuu...
Luxurious lifestyles in exclusive apartments.
Enjoy elevated living at Delta Residency located at Kilombero street, Upanga, a 12 story masterpiece featuring well designed 3 and 4 bedrooms...
Unatafuta pick-up imara, yenye muonekano mzuri na tayari kwa matumizi? Hii ni fursa yako
Ford Ranger Limited
Namba C
Ipo katika hali nzuri sana
Imetunzwa vizuri
Haina hitilafu, tayari kwa...
Hello
Naomba kuwasilisha tangazo maalumu kwa watumishi wa umma wote ambao wanahitaji kujiongezea kipato au kuwa na kazi nyinginevya ziarah ambayo itawasaidia kupunguza gharama za maisha.
Tangazo...
💰 Bei: TZS 156,000,000/-
Mahitaji ya apartment za chumba kimoja na sebule (1 BHK) katika eneo la Upanga ni makubwa kuliko idadi ya nyumba zinazopatikana.
Kutokana na uhaba huo, kodi za apartment...
Wandugu Water Dispenser nauza tsh 50,000 maongezi yapo kidogo.
Inatoa maji baridi na maji moto
Ina kasoro ndogo.
koki moja ya kutolea maji imekatika na kile cha ndani ambacho kinatobolea dumu...
Biashara yako inahitaji POSTERS na LOGO/NEMBO nzuri ili ikuwakilishe vyema katika soko la Ushindani.
LOGO UTAIPATA KATIKA MIFUMO MITATU
1: JPEG
2: PNG
3: PDF
POSTERS Unaweza kuzipoat FACEBOOK...
HOTEL INAUZWA
LOCATION KARIAKOO
Specifications.
Single room viko 27 50000/day
Double room viko 12 @ 70000/day
Special room viko 12 @ 85000/day
Frem kubwa 1 kwa mwezi 4,500,000/ month
Frem ndogo...
UHONDO HALISI
Kwenu wadau, kwa yule ambaye atakuwa tayari. Kila Jumatatu nitakuwa nawaandikia mambo yafuatayo;
1. INAYOTRENDI (itakuwa habari yoyote ambayo inavuma sana. Lakini itaandikwa kwa...
KAPOTEA ANATAFUTWA
Ndg zang watanzania pichani hapo anaitwa HUSEIN MRISHO ALEX umri ni miaka 13 anachangamoto ya ugonjwa wa kifafa ni mwenyeji wa mwanza, Kapotea maeneo ya Geita-Katoro.
Naombeni...