Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hi ndugu zangu wapendwa... Nauza. Latin za Wakala za airtel money ... Ziko tano . being ni sh 170000 kwa moja pia unaongea. mawasiliano ni 0683708181 0657971779
0 Reactions
0 Replies
900 Views
ninauza gari hii ikiwa katika hali nzuri na haina tatizo lolote Ni manual Model ya mwaka 92 H1Z engine 4w drive engine still intact(haijawahi kufunguliwa kama utahitaji kuiona nijulishe kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza bajaj used zipo maeneo ya ubungo zinafanya kazi bei mil 3 kwa kila moja inapungua kidogo sana . picha sina maana zipo mzigoni. call 0628033320
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ipo Dar es salaam,,MBEZI KIBANDA CHA MKAA,MOROGORO ROAD.VYUMBA 3 vya kulala,SEBULE KUBWA,VYOO 2,STOO,JIKO,chumba kimoja kinajitegemea kwa choo,MAJI yapo,UMEME upo nyumba imezungushiwa Fency,KODI...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Tunafunga mashine automatic za kumwagilia garden kutoka USA ni automatic kabisa unaiprogram inamwagilia yenyewe bila kuwepo mtu pia unaweza kumwagilia kwa remote au kwa simu yako ya smart phone...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mitsubish canter mayai, engine 4D34, study 6. Bei ni maelewano. Mawasiliano 0754269641 au kwa barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
737 Views
ukubwa: heka 5 bei: laki 8 @ heka mahali: ifakara- mngeta sifa za shamba:. Liko tayari kulimika, kuna mto pembeni ivyo unaweza kuendesha umwagiliaji,kilimo cha mpunga,cocoa linafaa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nyumba Inauzwa kinondoni Tsh mil 450 Ina flame za Maduka mbele lakini nyuma ina eneo jingine kubwa la Uwazi, Eneo lina kibali cha kujenga Ghorofa Tisa. kiwanja kina Hati na vibali vingine vyote...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Napangisha nyumba moja ipo morogoro maeneo ya forest karibu na morogoro hotel, nyingine ipo dodoma area E karibu na area D au gate la airport, zinafaa kwa makazi au ofisi. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata website kwa bei poa kuanzia 280,000Tsh na kuendelea kutegemea na aina ya website Contact: 0653573232 Email: info@gobongotech.com Website:GO BONGO TECH Karibu sana
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Viwanja vyenye ukubwa vinauzwa Chamazi eneo la Mbande kwa masista, eneo ni tulivu kwa makazi ya binadamu. Tambarare na mwinuko. Ukubwa wa viwanja 50ft x 40ft na bei ni 7,000,000. Mchanga, maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza gari Yangu kwa bei rahisi sana only 5,500,000. Mahali ilipo ni Zanzibar.hio ndio bei ya mwisho hakuna kupatana. Gari ilikuwa inatumika kwa ajili ya familia Yangu.nimeamua kuiuza sbb nataka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa salama! FEDE burudani inakuletea December to January special offer, kwa huduma ya MUSIC & MC kwa Tsh 490,000/= tu kwa tukio nzima kati ya haya;- Harusi, kitchen party, send off...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anayeitaka tuwasiliane ,pia ipo lap top hp imeharibika screen tu , hiyo nauza 190 k bei haipungui
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Aghalabu kuna aina mbili za harufu ya kinywa. Ya kwanza ni harufu ambayo husababishwa na matatizo ya meno au fizi. Nyingine ni harufu ambayo hutoka tumboni, na mara nyingi hii hutokana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wahi viwanja vitano (5) vilivyopimwa, makao makuu ya mkoa wa Pwani 25Km kutoka Dar es salaam. Mahali: mailimoja njia ya pangani 4Km kutoka njuweni Huduma za jamii kuna umeme na maji hapo hapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Experienced person in Project Proposal Writing is needed to start the assignment as soon as possible.We are looking for a person who: *has a passion in volunteerism; *can volunteer 100% i.e...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau natumaini mpo salama kabisa Kuna viwanja vinauzwa vipo kibaha madafu karibu na kiwanda cha nondo pia kuna shule ambayo ni advance n olevel 20 kwa 20 ni Tsh 1,500,000/= Au kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haloo wakubwa. Nauza Suzuki Carry kwa milioni tano tu (5m). Ipo Dar ukitaka kuiona muda wowote nitafute kwa no 0687702626. Ipo Kigamboni. Sababu ya kuuza nimeshindwana na madereva. Odometer ...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
AL-JAZIRA A MPYA TANGAZO AL-JAZIRA ENGLISH MEDIUM PRE AND PRIMARY SCHOOL MBINGA SHULE IMESAJIRIWA KWA NAMBA RV:03/3/003. Ina watangazia nafasi za masomo kwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…