Ninatoa huduma za utengenezaji wa KADI na KEKI za sherehe mbalimbali kwa kiwango cha hali ya juu na zilizo bora, kadi za mialiko mbalimbali kama vile kipaimara, Komunio, Sendoff, Harusi na Kaid za...
CHUMBA MASTER PAMOJA NA SEBULE VINAPANGISHWA
*Inapatikana Mbezi Mwisho, mtaa wa Muhimbili karibu na stendi mpya ya mabasi ya mikoani.
*Nyumba ina tiles, gypsum, maji yanapatikana
*Gari inafika...
Nina Uhitaji wa mashine hii.
Nina uhitaji wa mashine ya kusagia vitu vigumu (Multpurpose grain grinders.Ikipatikana used au mpya nitachukua.
Nina uhitaji wa mashine hii yenye kuzaga kilo 2,3...
Habari wana JF natafuta dalali kwaajili ya frem au office space maeneo ya city center au kariakoo
Kwa mwenye namba za dalali maeneo hayo naomba unitumie number au km ww dalali njoo inbox
Asanteni
• Condition: Used in Tanzania
• Second condition: Mint
• Registration: D
• Document: Full
• Status: Duty & Insurance paid
• Price: TZS 20 million
• Location: Dar (0767157788)
.
✓ saloon
✓ white...
Ni duka gani kwa DSM wanadeal na kuuza Computer Wana options ya kulipia kidogo kidogo nina uhitaji wa computer lakini kwa kipato changu ni ngumu kununua kwa pesa ikiwa yote imekamilika.
QUALITY MUSIC CLASS, tunakuletea darasa la kujifunza vyombo vya muziki; Piano,guiters,na Drums tunapatikana mbagala, kwa wale ambao wapo mbali na Dar es salaam tunafundisha kwanjia ya whatsapp na...
Heshima Kwenu wakuu, tumekamilisha usajili Wa NGO, sasa tunatafuta donor kwa ajili ya kufanya project ya kwanza.
Naomba msaada jinsi ya kuwapata nipo dar
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.
Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi...
Mizani aina zote
⚖ Njoo upate mizani aina mbali mbali kulingana na matumizi yako.
Ipo mizani digital & analog.
⚖️Inafaa kupima wanyama wazima kama kuku, nguruwe, mbuzi na Ng'ombe. Pia nyama...
Ndugu Wana JF nauza gari langu milioni 5 aina ya mark two grande ya mwaka 2003, engine capacity CC 1980, engine 1G-FE VVT-i mawasiliano calls/WhatsApp 0789208897
Ofa Ofa ya nanenane imewafikia wakazi wa Dodoma mjini pata maziwa fresh na mgando kwa bei nafuu kabisa . Lita kwa 1600 na lita tano kwa 8000 tunafanya derivery bureeee🤹 kwa kiasi chochote maeneo...
CHUMBA MASTER MPYAA - NJIA PANDA YA SEGEREA JIRANI NA STAKISHARI POLISI
(A) Chumba Master Kubwaa Mpya - Kodi 100,000 miezi 6
Zipo Ndani ya Geti. Umbali wa Kutembea Kwenda kituoni dk 10
Maji...