Wadau pole na majukumu, kuna kiwanja / kiwanja kinyelezi kimbii, yani sehem imechangamka badalaa, na barabara imenyooka.
Nauza kwa 40M. Maongezi yapo, nahitaji kuhama faster kama kuna mtu...
Nyumba ina wiring, gypsum kisasa,Aluminium windows, tiles, vyoo viwili ndani vyumba vya kulala 3,kitchen,sitting room, Ina miundombinu ya maji ndani,ina kisima cha maji baridi ya kunywa,Ina chumba...
salaam,
Nyumba inapatikana PUGU, majohe
Ina vyumba vitatu (master inclusively)
Eneo ni sqm 600
Ina tiles, gypsum na aluminium windows (ila si madirisha yote)
Nyumba ipo ndani ya fensi
Bei: 35m...
Nyumba inauzwa ipo kinyerezi dar es laam kiwanja kina hati nyumba ina vyumba 4 vyumba 2 master stingroom daining jiko bei milioni mia 130,000,000 maongez yapo kwa maelezo zaidi 0658720137
Sent...
PureLife Tap Maji safi ni nini?
BF Suma PureLife ya Maji inashika nafasi ya 7 kati ya vifaa vyenye ubora na ufanisi wa maji kwa hali ya juu , kifaa ambacho kinaweza kuzuia chembe za 0.1amu na...
Nyumba inauzwa massana
Inavyumba 3, Master bedroom,
umbali wa mita 40 kutoka barabara ya Massana- Goba.(Ni Km 1.2 kutoka Barabara ya Bagamoyo) Maji na umeme upo.
Nyumba imekamilika kwa 100%
Bei...
HOUSE FOR SALE AT BUNJU B.
Price: 50 milion Tsh.
Location: Bunju B
650M from Bagamoyo Road.
Plot size: 400 Sqm
Accomodation: 4 bedrooms (1 self contained ) with a lounge, kitchen, dining...
kama maelezo yanavyojieleza hapo, nyumba haina tatizo wala mgogoro wowote inaishi familia ya mtu mmoja ina ROOM 4, Inafaa sana kama mtu ana malengo ya kumiliki hapo ili aje kupandisha jengo la...
Nyumba ina vyumba 8 na frem moja ya biasha na ina kieneo kidogo cha mabanda kimebaki
Mita 100 kutoka lami
Panafaa kuboresha kwa ajili ya makazi, kwa biashara kama Gest house au apartment pia...
Nyumba ipo kunduchi beach ina vyumba 8 na frem moja ya biashara na pia ina banda la uwani
Gari inafika hadi kwenye nyumba na jirani kabisa na barabara ya lami
Size plot 700sqm
Panafaa Gest...
Habari wakuu!
Kuna nyumba inauzwa maeneo ya ukonga-banana ina vyumba vinne,sebule,sehemu ya kulia chakula, store na sehemu ya parking ya gari,na bado kuna eneo kubwa la kujenga nyumba nyingine na...
Kama mada isemavyo, nyumba ipo Mwenge mitaa ya TRA jijini Dar es salaam, nyumba ina vyumba vitatu na mabanda ya uwani, eneo lina sqm 500! Document zote zipo na hati! Bei ni 260M maongezi yapo
Pia...
Location: Pongwe, Tanga.
Umbali kuelekea main road: 1 km
Maji yanapatikana 24 hrs, 7 days.
Umeme upo karibu, hakuna haja ya nguzo.
Vyumba vitatu, kimoja master
Kuna Public Toilet
Kuna Jiko na...
Salaam,
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa...
Habari wana jf ...nilishawahi kuja humu kutangaza kuhusu uuzwaji wa nyumba iliyopo maeneo ya tabata segerea(maeneo kwa mashilingi)
SIFA ZA NYUMBA
1)Nyumba ina tiles na gypsum,umeme pamoja na Maji...
Nyumba ipo kibaha mkoani A au maarufu kama kwa mkuu wa mkoa nyumba ina makaratasi yote ya umiliki yapo umeme na maji vyote vipo ukubwa wa eneo lina upana wa mita 20 na urefu wa mita 30 (20×30)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.