Nambieni wadau. Kuna incubator pc 3 zimebaki baada ya mauzo ya sabasaba na nanenane (mpya). Mayai 528 sasa ni 2100000 badala ya 2500000, na mayai 96 sasa ni tsh 600000 badala ya 750000, na mayai...
Napenda kuwasalimu wana JF,
Nachukua fursa hii kuwatangazia wataalamu wa kujenga mabanda ya kuku. Ujenzi kimsingi unatajiwa kuanza rasmi tarehe 1 Septemba 2016 maeneo ya Tengeru Arusha. Hivyo...
Napenda kuwasalimu wana JF,
Nachukua fursa hii kuwatangazia wataalamu wa kujenga mabanda ya kuku. Ujenzi kimsingi unatajiwa kuanza rasmi tarehe 1 Septemba 2016 maeneo ya Tengeru Arusha. Hivyo...
Kwa mahitaji ya Graphics Design na Printing Tafadhari tuwasiliane kwa Mawasiliano yaliyopo kwenye hiyo Ad.
Au tembelea ukurasa wangu wa facebook kwenye linki hii...Graphicom Tz | Facebook
ili...
Mwenye contena tafadhali ani-pm tuongee biashara
Liwe Dar es salaam pls
Liwe na document zake .....au muuzaji atoe uhakikisho kwamba yeye ni mmiliki halali!
Nahitaji mwanadada mtu mzima, anayejielewa na si msichana,wa kufanya usafi nyumbani, mara mbili kwa juma, kufua, kupiga pasi, kufanya usafi wa jumla wa nyumba, haswa ndani na kuosha...
Habari wana bodi
Nahitaji mtu wa uhakika ambaye atakuwa ananiletea kuku wa kienyeji kutoka Singida.
Awe na uwezo wa kuleta kuku wa kienyeji 80 - 100 kwa wiki.
Mtu ambaye yupo Singida na anaweza...
Mm nafanyabiashara ya gas napata faida kati ya laki tano mpaka milion kwa siku ila madeni yamenizidi kama kuna mtu anataka kujua zaidi na anapesa anitafute aje tujadiliane tupige kazi
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;-
# Kisukari.
# Shinikizo la damu.
# Maumivu ya viongo.
# Upungufu wa kinga mwilini,vidonda vya tumbo
# Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa kusua sua...