Salam wadau...nauza mashine ya kunyonyolea kuku manyoya,nimeitumia kama mara 3 tu..inatumia umeme na inanyonyoa kuku 8-10 kwa sekunde 30.Bei ni laki 5.Karibuni sana.0689900000
Wadau,
Kuna rafiki yangu anauza Shamba lake Mlandizi la heka 10. Kutoka lami ya Morogoro Road pale mlandizi mjini ni Kilometa 8 upande wa kushoto kama unatokea Dar es Salaam. Anauza lote kama...
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
Habari wakuu!
Kuna fenicha zifuatazo zinauzwa
1. Meza za kisasa saizi ya kati mbili (2)@200,000Tshs
2. Viti vya kuzunguka vya plastiki na kitambaa rangi nyeusi viwili (2)@130,000Tshs
3. Viti vya...
Noah SR40 ya mwaka 2001, inauzwa bei chee.
Gari iko vzr sana sawa na mpya, ina tires mpya, sport reams safi, alarm system, seat covers, heavy music system. Gia fupi, cc 1990, metalic black na...
Nauza mashine aina ya Ricoh Aficio MP2000
Inacopy
Inaprint
Ina scan
Inatuma na kupokea fax
A4
A3
Wino bado mpya
Developer mpya
Nakupa na chupa moja ya wino extra
Inageuza karatasi automatic
Ina...
Ni tai nzur kutoka Uturuki na UK ..ziko high quality na material zake n ngumu...
Hutajuta kuwa nayo.
Tunapokea orders kwa shughuli mbali mbali hata maofisin ,kanisan...nk.
Bei n nafuu na...
Nipo arusha nahitaji tv chogo au flat
Kuanzia nchi 21
Pesa ipo
Uwe moshi ama arusha
Au kama wafaham wanapouza tv used km za chogo za bei rahisi naomba unijuze
Tangazo la Semina
Ni siku mbili za udhihirisho wa Nguvu za Mungu ndani Dar es salaam
Ni kamati ya "The real son's of God Dar es salaam " wamekuandalia semina ya neno la Mungu itakayoongozwa na...
Nauza dawa ya nguvu za kiume inayotokana na mchanganyiko wa mimea asili kama mlonge na milidino na vyakula vya asili...wale wa mikoan mtatumiwa kwenye mabas..dawa hii inatibu kwa muda wa siku 5...
Habari ndugu wana Jamii,
Nauza viwanja vya makazi maeneo ya Kiluvya Madukani kilometer 2 kutoka morogoro road, vipo pembeni ya viwanja vya NSSF. Bei ni Milioni 5 Inaanzia kwa miguu 20 kwa 20...
We help in:- Proposal development, Questionnaire designing, Data analysis, Data presentation and Report writing
We also help in teaching different database and analysis software such as:-
MS...
Logde nzuri na kisasa yenye vyumba 9 selfu contained parking ya magari kubwa,eneo kubwa la bar pamoja na jiko bado mpya kabisa.ipo nyegezi hapa jijini Mwanza mita 100 kutoka Tema Hotel bei milion...