Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala
Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei)
.Documents serikali ya mtaa...
Habari wanajukwaa nauza nyumba ipo kimara mwisho maeneo ya kwamashaka km 4 kutoka barabara ya morogoro road kwa boda bodo ni sh/ 1000 kwa bajajish/500.
Eneo lina upana wa 40 -33 na 40 20 - 33...
Jipatie ramani nzuri za nyumba pamoja na B.O.Q kutoka JM construction company
MAWASILIANO:0758294772(Engineer)
MAWASILIANO:0657855955(Engineer)
tunapatikana Dar es salaam izo ni baadhi ya kazi...
NYUMBA INAUZWA
DETAILS
Ni nyumba ya vyumba vitano(1 master)
Pia ina;
-sitting
-Dinning
-kitchen
-store
-public toilet
-parking
-Tiles
-Gypusm
-slidewidows
HUDUMA ZA KIJAMII
-maji
-umeme...
Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd)
Ukubwa: 347 sqm
Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu
Kina Leseni ya Makazi
Contact: 0655888268
NYUMBA INAUZWA
MAELEZO
Ni nyumba ya vyumba vinne(1 master bedroom).
Pia ina;
-Dinning
-Sitting
-jiko
-store
-Public toilet
-uwanja kubwa kwa ajili ya parking.
UKUBWA WA ENEO
30*20(sqm 600)...
Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area)
Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya...
Ina vyumba vitano bafu na choo ndani, ina vyumba vingine uwani viwili vyenye choo na bafu, ina eneo kubwa kwa mbele na nyuma pia ina eneo kubwa, gari inafika hadi mlangoni
Bei milioni 46...
Nyumba INAUZWA Ipo mapinga shule bagamoyo, ina room tatu ,sebule, chumba kimoja master, na choo cha ndani cha public, ina Umeme, maji pia, bei Tsh milion 45 .CONTACT :+255683 224 363
NYUMBA INAUZWA
DETAILS
Ni nyumba ya kisasa sanaa ya vyumba vinne(2 master)
Pia ina;
- dinning
-sitting
-jiko
-public toilet
-parking
LOCATION
kibaha mkoani kati kwa dachi
UKUBWA
Sqm 965(30*32)...
Nyumba inapatikana Kibaha kwa mfipa (2km kutoka Morogoro road)
MAELEZO:
nyumba ina vyumba vinne (4) vyote ni self-contained.
Ina sebule, jiko, store na public toilet.
Eneo la kiwanja ni sqm 2000...
Moja Kati ya Apartment 10 za Nyumba za Mteja Wetu wa MBWENI ikiwepo Kwenye Hatua za Finishing.
Nyumba ina Vyumba Viwili(2) vya Kulala
Chumba Kimoja ni Self
Ndani ya Hii Nyumba Kuna:-
Dinning...
Nyumba inapatikana wilaya ya Ilala.
Nyumba ina vyumba vitatu, sebule, jiko.
Eneo la kiwanja ni sqm 400 (20*20)
Huduma za kijamii zinapatikana (maji, umeme na barabara)
Umbali kutoka msongola...
📍Eneo Lilipo: Makongo Juu - Mageuzio
📍Aina ya eneo: Eneo la makazi Kubwa lililo na mjengo wako
📍Ukubwa wa eneo: 2100 Sqm
📍Mazingira ya eneo: Eneo tulivu lenye makazi ya watu
📍Huduma za...
Pagale linauzwa lipo mbezi msakuzi.
Details:
Ni nyumba kubwa na ya kisasa, yenye vyumba vinne vya kulala, viwili masters na viwili vya watoto, sebule na dining yake, jiko na store yake...
NYUMBA inapatikana KITUNDA, Kivule
Km 8 kutoka nyerere road (old pugu road)
Nyumba Ina vyumba viwili (all are self-contained)
Aluminium windows, full gypsums & tiles
Perving blocks
air-condition...
Habari wana jf,nadhani hi awamu ya tatu hii ni baada ya kukosa mteja wa uhakika na changamoto za hapa na pale.....ila cha kushukuru ni kwamba nyumba mpaka sasa haijapigwa Mnada
SIFA ZA NYUMBA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.