Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

KUTOKA KWENYE BLOG Matokeo ya majaribio ya toleo jipya la TECNO Phantom 6 itakayozinduliwa - millardayo.com Habari nilizozipata kutoka chini ya kapeti ni kwamba, kutumia app 50 kwa mpigo ukiwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba yenye chumba cha kulala, sitting room, choo, jiko imepauliwa nusu na kuna mtu anaishi kwa uangalizi ikiwa na eneo la heka nne, inauzwa mil.15. MAJI, MCHANGA, KOKOTO, MAWE VIPO VYA KUTOSHA...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bar inapangishwa na kila kitu viti na meza pamoja na cooller mbili moja ya TBL na nyingine ya Coke luku yako mwenyewe ina sehemu ya indoor inaitaji marekebisho kidogo choo chako mwenyewe jiko...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwipendeja house cleaner company. Inakusafishia nyumba mpya ambayo bado haujaamia,nyumba inayoishi watu lkn kwa namna moja au nyingine wamekosa muda wa kusafisha,upishi wa nyumbani kwa...
0 Reactions
2 Replies
523 Views
Nauza kiwanja changu futi 60*62 kilichopo Vikindu vianzi kwa mil 2.5 tu. Pia ukinunua kiwanja nitakupa na matofali 400 bure yaliyopo hapohapo kiwanjani. Piga 0625667292.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukihitaji call/whatsapp 0718161656
0 Reactions
4 Replies
1K Views
bei 480 maelewano yapo
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Nokia express music 5730 symian is mpya Weka bei call whatsapp 0668936317
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Habari zenu wote, Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Nahitaji mayai ya kanga. Kwayeyote yule alonayo tuwasiliane. Nayahitaji kwaajili ya kuangilisha vifaranga wa kanga. Namba za simu 0716548250
1 Reactions
0 Replies
953 Views
Wadau natafuta gari Pick-up ya ton 1.5 ninazo pesa milioni 7 , iwe na hali nzuri ukiweka na picha yaani itakuwa bora sana
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni toshiba portege R- 830 Hdd500gb Ram 4 gb Processor 2.5ghz intel core i5 Battery iko poa masaa6 Laki 450000 Niko mwanza bugando Whatsapp 0768936317
0 Reactions
2 Replies
549 Views
I have a Diploma in automotive engineering working at Toyota Tanzania in Dar es salaam. I am doing the following services in vehicle such as engines and gearboxes repair,services and maintenance...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Tupo Dar na mikoani tunafanya delivery, viatu vya kike kwa vya kiume vyote elfu 25 scarf zenye matobo elfu 18, zisizo na matobo elf 23 ponchos elf 25 zote! Karibuni
3 Reactions
27 Replies
10K Views
Mzigo wa viti vya saloon...(baber chair).. Umewasili. Viti vizuri na imara na bei yake ni poa kabisa kwa kua tunauza kwa bei ya jumla godown. Tunawauzia watu wenye maduka kwa bei ya jumla. Hata...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ni huduma inayohusika na nn? Nini faida yake?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia). Nawasilisha
1 Reactions
17 Replies
16K Views
Nauza laptop used aina zote kuanzia Tsh 250,000 na kuendelea. Tupo Kariakoo. Call 0675531833, ujipatie laptop uipendao kwa bei nafuu kabisa.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama unahitaji Powerbank na huna uhakika ipi ni nzuri na yenye kukaa nachaji ki uhakika..nitafute nikuuzie...Bei Tsh. 25,000...#Cap:30,000Mah Looking to purchase a #powerbank and not sure which...
1 Reactions
2 Replies
844 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…