KUTOKA KWENYE BLOG Matokeo ya majaribio ya toleo jipya la TECNO Phantom 6 itakayozinduliwa - millardayo.com
Habari nilizozipata kutoka chini ya kapeti ni kwamba, kutumia app 50 kwa mpigo ukiwa na...
Nyumba yenye chumba cha kulala, sitting room, choo, jiko imepauliwa nusu na kuna mtu anaishi kwa uangalizi ikiwa na eneo la heka nne, inauzwa mil.15.
MAJI, MCHANGA, KOKOTO, MAWE VIPO VYA KUTOSHA...
Bar inapangishwa na kila kitu viti na meza pamoja na cooller mbili moja ya TBL na nyingine ya Coke luku yako mwenyewe ina sehemu ya indoor inaitaji marekebisho kidogo choo chako mwenyewe jiko...
Kwipendeja house cleaner company. Inakusafishia nyumba mpya ambayo bado haujaamia,nyumba inayoishi watu lkn kwa namna moja au nyingine wamekosa muda wa kusafisha,upishi wa nyumbani kwa...
Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
Habari zenu wote,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Nahitaji mayai ya kanga. Kwayeyote yule alonayo tuwasiliane. Nayahitaji kwaajili ya kuangilisha vifaranga wa kanga. Namba za simu 0716548250
I have a Diploma in automotive engineering working at Toyota Tanzania in Dar es salaam.
I am doing the following services in vehicle such as engines and gearboxes repair,services and maintenance...
Tupo Dar na mikoani tunafanya delivery,
viatu vya kike kwa vya kiume vyote elfu 25
scarf zenye matobo elfu 18, zisizo na matobo elf 23
ponchos elf 25 zote!
Karibuni
Mzigo wa viti vya saloon...(baber chair).. Umewasili. Viti vizuri na imara na bei yake ni poa kabisa kwa kua tunauza kwa bei ya jumla godown. Tunawauzia watu wenye maduka kwa bei ya jumla. Hata...
Habari,
Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia).
Nawasilisha
Kama unahitaji Powerbank na huna uhakika ipi ni nzuri na yenye kukaa nachaji ki uhakika..nitafute nikuuzie...Bei Tsh. 25,000...#Cap:30,000Mah
Looking to purchase a #powerbank and not sure which...