Nyumba hii ni mojawapo ya nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mwaka 1968.
Ni nyumba ya mjengo wa kizamani. Ina nyumba vitano vya kulala na korido katikati. Uani kuna choo 2...
Nyumba 2 zinauzwa kwa pamoja ndani ya eneo moja shilingi milion 70. Maongezi yapo.
Zipo Kimara Mavurunza. Gari inafika mpaka mlangoni. Umeme upo. Nyumba ya kwanza inavyumba 12, vitatu ni master...
Nyumba Ipo Kiluvya Madukani,
Nyumba Ipo umbali wa Kilometer Moja Kutoka Morogoro Road. Ukubwa Wa Eneo ni mita 15 Upana na Urefu mita 22.60. Nyumba Ina Vyumba Vitatu Vyote ni Masterbedrooms...
Habari nyumba hii inauzwa ipo barabarani kabisa Goba million 58 tu karibu ujionee tupigie 0763542515
Ina vyumba vitatu na sebule umeme na maji vipo pia ina by quarter kwa nje kama una vijana...
Nyumba ya kisasa ina vyumba vinne master jiko, siting room, dining umeme na maji ipo bararani njia ya kwenda kiwanda cha plastiki Vikindu madafu ina eneo kubwa limebaki unaweza kupiga simu namba...
-Nyumba ipo Kinyerezi mwisho 1.5 km kutoka barabara ya lami
-Ina vyumba vitano,viwili master,sebule,dinning,public toilet,jiko na stoo
-Ukubwa wa kiwanja ni sqm 700 ( 35 kwa 20)
-Pamepimwa...
Habari za mwaka mpya wakuu
Nyumba inauzwa pugu kajiungeni
km 1 kutoka barabarani.
Ina nyumba vi3 vikubwa.
bei ni milion 45 maongezi yapo
Ni square mita 1500 yaan mita 30 kwa 50
No 0753567696
NB...
nyumba tatu zilizokua kwenye kiwanja kimoja zinauzwa
Mahali: Chanika
ukubwa wa kiwanja ni 1405 sqm
matumizi ya nyumba yanaweza kutumika kwaajili ya makazi au biashara ya kupokea wageni
Huduma...
-Nyumba ipo kimara matosa njia panda ya Kimara na Matosa. Ni eneo lililotulia lisilo na kelele kwa ajili ya kujipumzisha na familia ukitoka kwenye mihangaiko ya siku nzima
-Nyumba ina vyumba 3...
Nyumba hii ina vyumba vitatu 3 vya kulala chumba kimoja master dining room public toilet jiko stoo na sitting room
Kwa tshg million 28,000,000/=
Ukubwa wa eneo sqm 400
Ina hati ya ofisi ya...
Salam kwenu wakuu.
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida -2
Sitting room
Dinning room
Kitchen na store...
NYUMBA INAUZWA MILLION TISINI (90)
NYUMBA IPO MBAGALA_CHAMANZI.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA HII: 0769160000
Nyumba ina vyumba vinne chumba kimoja master ina sittingroom diningroom jiko store...
Nyumba mpya inauzwa ipo mjini Chanika Mwisho.
Kwa tshg million 21,000,000/=
Ukubwa wa eneo sqm 400
Nipigie:+255 6 28 00 82 18/+255 7 54 90 80 45
Nyumba hii ina vyumba vitatu 3 vya kulala...
Kwa mhitaji wa nyumba hii njoo chapu ufunge mwaka vizuri:+255 6 28 00 82 18/+255 7 54 90 80 45.
Kwa tshg million 30,000,000/=
Nyumba hii ina vyumba vitatu 3 vya kulala chumba kimoja master...
Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master
Sebule kubwa
Dinning
Store na jiko
Ipo tabata liwiti
Bei mil 70 mazungumzo yapo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nyumba inauzwa
Ipo kibada kigamboni 135 milion.. Negotiable to serious buyers
Call 0744033555
Nyumba ina vyumba vitatu
Master bedroom
Choo public
Maji + umeme guaranteed miaka mia
Full...
Wakuu habari zenu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda...
-ina vyumba 3 kimoja master ,sebule,dinning hall,jiko,stoo na public toilet
-Kiwanja kina ukubwa wa 30 kwa 25 (750sqm)
-pamepimwa lakini hapana hati
- Umeme na maji vyote vipo.
-Ukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.