JIKOPOWER tunazalisha mbadala wa kuni na mkaa (briquettes) kwa ajili ya kupikia. Tunaita "Kuni Rafiki", zinafaa hasa kwa matumizi ya shule, viwanda, biashara za kupika chakula na majumbani pia...
Fahamu baadhi ya Faida za Kuziba meno Yaliyotoboka
1. Meno Yaliyotoboka iwapo yatazazibwa yanadumu miaka 7-10
2. Utazuia meno yasiendelee kuharibika
3. Ubora na uimara wa jino halisi...
Ninauza camera ipo kama mpya imetumika kidogo bei ni laki tano tu .removu k1 4k 3-axis gimbal all-in-one camera/camcorder in pristine condition. The lcd screen is still protected .
Removu k1...
Habari viongozi nina eneo lipo omboza msanga zalala ni eka mbili eneo ni mali yangu halali halina shida yoyote eneo ni tambalale kabisa naitaji million13 kwa eka zote mbili nipigie simu 0794454720
Habari zenu wadau, ninauza Azam Dekoda kutoka Malawi
Dekoda hizi ni sawa na zilizopo Tanzania, ila zina baadhi ya vitu hasa gharama zake
Comparison:-
✓Dekoda pekee
Azam malawi Tsh 60,000
Azam Tv...
Apartment Mpya Inauzwa - Kariakoo, DSM
ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom
ina furniture
ipo ghorofa ya nane
jengo ni jipya
lift ipo
Bei TZS 280m
Gharama ya kwenda kuona Eneo...
Gorofa la kumalizia
linauzwa ni nzur sana””
Lina vyumba vitano
master
Ukumbwa wa kiwanja
ni square mitter 1200”
Price million 500”
maongez yapooo
Kuna hat miliki
Locationbahar beach...
Habari za asubuhi, wakuu nauza laptop HP Zbook, mtambo wa kazi, kwa wale wenzangu pro wa media(graphics, animations, video editing)mnaujua huu mtambo.
Bei ni 2M. Mteja serious anicheki pm
Hello my lovely customers.
Asanteni kwa kunisapoti sana ,kipindi naanza hadi sasa nilipofika
Sasa Cake zetu tutazipata Mbeya mjini na viunga vyake vyote.
Karibu kwa ajili ya Oda,cake za matukio...
Habari ndugu zangu,
Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.
Nina uwezo wa kusuply gunia 200...
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot...
Wadau wa JamiiForums,
Habari za jioni. Ninaomba msaada wenu.
Ninatafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili (2 bedrooms) eneo la Mbezi Beach Chini. Bajeti yangu ni kati ya Tsh 500,000 hadi Tsh...