Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Apartments 6 zenye vyumba vitatu vya kulala zinapangishwa. Kila apartment ina master-bedroom moja, room 2 za kulala, kabati za ukutani za nguo, jiko, sebule,sehemu ya kulia chakula, na vibaraza...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Tunapangisha office/Stoo kwa ajili ya kuhifadhi bidhaa za maonyesho ya sabasaba. Zipo jirani na uwanja wa maonyesho sabasaba na ulinzi wa mali zako upo. kwa mawasiliano.
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Wakuu, natafuta vyumba vya kupangisha Buza. Viwe 2 na sebule na maji na umeme viwepo pia.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta chumba single kiwe self. Mitaa ya banana, keko au airport Msaada ndugu zangu.
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Ni Chumba Sebule na Choo Chake, Kodi Laki 2 Kwa Mwezi. Ipo ndani ya Fensi, Maji Yapo Dawasco. Tuwasiliane: 0685917621
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Banana Kitunda, Matembele ya kwanza kabla ya kuvuka Reli. 2.3kms toka Banana. 4.8kms from airport. 14.2kms toka City Centre. Master Bedroom/Chumba cha Mgeni/Spacious Living Room/Public...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za jioni wandugu..kwa anae hitaji nyumba mpya na ya kisasa ya kupanga Dodoma anitafute .nyumba ipo ndani fence ina maji na umeme pia ni mpya ina vyumba viwili master...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Habari JF, Natafuta frame maeneo ya Dar sehemu iliyo changamka. Nataka kutoa huduma ya ketengeneza kompyuta na kutengeneza simu. Mwenye nayo au mwenye ambaye anajua mtu mwenye frame tafadhari...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Chumba kiko mbezi mwisho kodi elfu sitini kwa mwezi kulipa kuanzia miezi sita.. Chumba kina choo ndani tiles chini pamoja na gypsum bila kusahau maji na geti kubwa. Masharti ya chumba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Salaam, Kama kichwa Cha thread kinavyojieleza napangisha nyumba nzima ipo Tegeta Nyaishozi,(sio Dalali) Bei ni laki 4.5 kwa mwezi. Maelewano yapo. Nyumba ni kubwa...
0 Reactions
80 Replies
9K Views
Habari wana jamii Nahitaji nyumba ya kupanga! Iwe ya kuanzia vyumba viwili kimoja kikiwa master itapendeza! Iwe na uzio na iwe ya kupendeza, maji ni muhimu! Maeneo ni Kimara kuja mpaka ubungo, au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kodi frem ya biashara iliyopo maeneo ya msasani kimweri avenue + Maandazi Road opposite CCBRT Lipia Elfu 80,000 tu kwa mwezi Kwa Mawasiliano piga 0657 13 13 66
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Banana Kitunda,Matembele ya kwanza kabla ya kuvuka Reli. 2.3kms toka Banana. 4.8kms from airport. 14.2kms toka City Centre. Master Bedroom/Chumba cha Mgeni/Spacious Living Room/Public...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini za saa hii wakuu..nina uhitaji wa chumba kimoja na seble. Ningependa kiwe maeneo ya kuanzia kimara Kona hadi kimara mwisho. Au pia maeneo ya bara bara ya kwenda kwa mzee wa Upako kutokea...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Chumba self na sebule inapangishwa maeneo ya Mikocheni B jirani na shule ya Academic. Kodi 180,000/= kwa mwezi na malipo ni kuanzia miezi sita. Mawasiliano: 0744218415 Mmiliki sio Dalali..
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana Jf. Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo -Kimara -Mbezi zote -Africana mpaka bunju -Goba Budget yangu maximum ni 250,000/= Mwenye nyumba maeneo hayo aje Pm yutajenge.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Chumba cha kupanga Tsh. 25000/= kina umeme na maji yasiyo isha kipo Vwawa Songwe.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
50,000 per month * 6 months. kipo Gongolamboto,ulongoni A kwa Celtel self room,maji free 24 hours,umeme luku wapangaji watatu. chumba kiko katika hali nzuri sana. wapangaji wasela watapewa...
1 Reactions
2 Replies
975 Views
Apartment mpya kabisa hizi zipo kmr temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka main road ni dk 5 tuu kwa miguu zipo 3 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio imebakia ina vyumba 2 vikubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya Kimara, Buguruni, Magomeni au eneo lolote lisilo na Foleni ya Kwenda Muhimbili National Hospital(gari moja) Kiwe kizuri, ikiwezekana na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom