House4Rent Nyumba inapangishwa, Ukonga Banana.

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Jan 29, 2013
1,287
483
Banana Kitunda,Matembele ya kwanza kabla ya kuvuka Reli. 2.3kms toka Banana. 4.8kms from airport. 14.2kms toka City Centre.

Master Bedroom/Chumba cha Mgeni/Spacious Living Room/Public toilet/Kitchen/Separate Luku/Maji ya ku-share bili/Fenced/Ample parking/0.6km toka Lami/very close to Ukonga Magereza Garden and recreation/Kodi kwa mwezi Laki 3 X Miezi6. Ni sehemu tulivu na Mandhari yenye kuvutia.

Kuona Elfu 10. Ya udalali ya Mwezi Mmoja kama Desturi.
_*0712205540_*

_*Kindly, repost this in other groups._*

5e465dc38ed2660d34c5a654e4072be5.jpg


6e9fbaad1a3166f188c2aac6ebacdde3.jpg


f79aacd433ca76fb022d9fd50313e65e.jpg

8aad5a1168c8dc380e4faa4890cb7e5d.jpg
 
Hivi tangazo la sirikali la kulipisha kodi ya nyumba kwa mwezi hamkulisikia?
 
300,000 x 6 = 1,800,000/= kwa miezi sita tu.

Sawa Mkuu maana hata Nyumba ni nzuri kweli.
 
nyumba ni nzuri ila laki 3 nyingi sana..

naishi ubungo na nyumba ina sifa kama hizo japo ya kizamani ina madirisha ya kawaida haina alluminium ila nalipa 180,000 tu... so laki 3 kwa ukonga naona nyigi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom