Nauza air compressor 50 litre ipo kwenye hali nzuri, inafaa sana kwa kupulizia rangi kwenye magari.
Sio mchina.
Bei Tsh. 420000
Mawasiliano: Piga simu 0712652110 Sehemu: Dar
Idadi: Zipo 2
👉 Kwanza hizi camera Zina Zina quality Bora yenye 2MP
👉 Na zinaonesha rangi halisia iwe mchana ama usiku
👉 Ina technologia ndani yake "Smart Hybrid Light" mahususi Kwa ajili ya kuimalisha ulinzi...
Je unahitaji mashine kwa kufanya biashara ya kuzalisha unga safi na bora wa sembe au dona na kusambaza kwa wateja wako wasiliana na kami machinery manufacturing kwa ushauri wa kitaalam zaid...
Habari wadau
Siku ya leo nakupa hii kwa wale wa podcast ba studio
Mic ya kwenda kabisa
SURE CONDENSER MIC
KWA PODCAST , STUDIO & VIDEO MAKING 🏷️ 490.000
Tunapatikana kariakoo mtaa wa aggrey na...
Ramani ya vyumba viwili, chumba kimoja masta, kingine cha kawaida, pia ina;
~sebule
~dining{chumba cha kulia chakula}
~jiko
~stoo
~choo cha kushea
~baraza ya mbele na ya jiko
~Ukubwa wa Ramani ni...
Ina uwezo mkubwa wa kuprinti black and white, A4 na A3, dual printing, photocopy machine with good quality of image.
Bei ni milioni 1.2 maongezi yapo na punguzo lipo.
Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu.
(Maize sheller machine)
✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA)
✓Inapukuchua magunzi saize...
Habari wana JamiiForums.
Kijana wenu bado nipo na mitikasi ya kupokea nini unahitaji nikupe mawazo, ushauri na unachohitaji kulingana na mahitaj yako.
Spare za magari kama Nissan, Toyota ...
Wana jamiii naitupa hii kwa bei ya kitongaaaaaa
VIDVIE SP 908 SPEAKER 🏷️ 250.000/=
BLUETOOTH ✅
PORTABLE✅
MIC✅
Kwa mawasiliano zaidi
Tupigie normal calls / wasap - 0659588492
Tupo kariakoo aggrey...
Nauza Oxygen Concentrator Litre 10 kwa matumizi binafsi au ya hospitali. Bei 2 Mil, Maongezi yako. Nitafute kwa namba 0744117116, napatikana Dar mkoani natuma
[emoji33]NIGHT VISION DRIVING GLASSES⠀⠀
⠀⠀
Furahia Kuona Vizuri
[emoji736] Itakukinga Na Taa zote Kali Za Full⠀⠀
[emoji736] Itakukinga Na Taa Kali za Barabarani⠀⠀
[emoji736] Itakukinga na Ukungu...
NOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho
______________________
* Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV.
* Kama...
Habari gani wakuu.
Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.
Bei yake...
Habari ndugu zangu.
Poleni na majukumu.
Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.
Meza 2...
Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 60 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga … mwenye uhitaji anicheki namba za simu 0612630936
Viatu ni vizuri na imara sana.
Bei: 12,000 tu
Napatikana Dsm Segerea mwisho.
Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako.
Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.