Salamu Wakuu naomba kuwauzia Pagale MBILI kwenye Kiwanja kimoja.
Details
-Kiwanja kina Ukubwa wa Sqm 1543.
-Kiwanja Kimepimwa na kina Ofa(Hatua moja kabla hujapata Hati).
-Mapagale yapo...
Nyumba inauzwa Bagamoyo mjini
Ina vyumba 3 vya kulala
Kimoja master
Eneo square mita 800
Bado mpyaaaaa
Bei 190M
Maongezi yapo 🙏🙏
Mawasiliano 0757854660
TANLANDS REAL ESTATE
NYUMBA INAUZWA MSONGOLA
WILAYA YA ILALA:
NI NYUMBA MPYA KABISA
[emoji3591] BEI NI: TSHS. 45/- MILIONI
NYUMBA INA:-
[emoji3591] VYUMBA 3 VYA KULALA
[emoji3591] DINNING ROOM...
TANLANDS REAL ESTATE
WAKALA WA UUZAJI NA UNUNUAJI WA
ARDHI NA MAJENGO
[emoji3591]JENGO LA GHOROFA
LINAUZWA MBEZI - LUGURUNI
[emoji3591]KWA BEI POA KABISA
TSHS. 750/- MILIONI TU...
HABARI Karibu MUDU COMPANY LTD Located at Mbezi Beach samaki wabichi house 2nd floor Ni kampuni ya debt collection ,auctions and real estates tunauza. Nyumba na viwanja mbalimbali Maeneo tofauti...
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni self contained na sitting...
NYUMBA INAUZWA MBEZI MAKABE KWA DUNIA MACHO KODO. NI KM 3 TOKA STAND YA MAGUFULI
LOC :MBEZI MAKABE
AREA : SQM 400
PRICE : MIL 45
UMILIKI :MKATABA WA MAUZIANO
HII SIO YA...
NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -*
( MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya...
*NYUMBA YA GHOROFA INAYOSUBIRIA KUPAULIWA TU! INAUZWA -
(MADALE NJIA PANDA YA NGUZO MTAA WA NYUMA YA KITUO CHA POLISI MADALE)
Ni nyumba yenye eneo kubwa na mchoro wa kisasa kabisa"( Jumla ya...
Karibu tukuuzie nyumba ya Kisasa kabisaaa
Nyumba ipo maeneo ya pangaboy Kama unaenda Mpobo.
Unaweza kupitia barabara ya Mbopo inayotokea Mkoroshini, au kupitia barabara ya Mbopo kutokea madale...
Habari wana JF,
Nauza nyumba yangu iko Kivule kwa wamakonde kwenye kiwanja cha s.meter 500, haijaisha ila tayari ishapauliwa na mabati ya msauzi.
Kwa walio serious karibuni..22mil
Mawasiliano...
Habariniwakuu na pia napenda kuwapa pole na majukumu ya ya Kila siku
husika na mada tajwa happy juu kuwa nyumba inauzwa 10ml. Ipo pugu kimyamwezi umeme upo pia Hadi bomba la maji lipo Kwa...
Nyumba inauzwa Mbeya Mjini, nyuma ya pm hotel, karibu kabisa na stand ya nanenane, mita mia toka rami inayotoka nanenane kwenda ilomba, piga simu 0744757738
NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA DSM-MADALE MWISHO $21,000 (48,000,000)
Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha
Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
Nyumba imeishia usawa wa lenta, Ni ya vyumba 2 kimoja self, sebule kubwa na pia ina choo cha Public inauzwa kiasi cha Mil 9.5. Ipo kwenye eneo lenye ukubwa wa 20×20. Pia shimo la karo...
INAUZWA NYUMBA IPO GOBA SHELI YA ENGINE KUTOKA BARABARA YA GOBA ADI KWENYE NYUMBA MITA150[emoji118]
_____
MILIONI 160 MAONGEZI [emoji118]
________×________________
&SPECIFICATION ZAKE[emoji116]&...
Asalaam alaikum,
Napenda kuwatangazia kua nina nyumba nauza kigamboni mikwambe yenye sifa zifuatazo
. Nyumba ipo kigamboni Mikwambe
. Nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami ya kigamboni
...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.