J Mbungi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 262
- 72
NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA DSM-MADALE MWISHO $21,000 (48,000,000)
Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha
Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea MBOPO (Njia panda ya Msumi-Mbezi).
Bei ni dola $21,000 au Milioni 48 za kitanzania )..(Maongezi kidogo yapo.
Mwenye kuhitaji specification zake:👇👇
1: Ina vyumba 3 ambapo 2 ni master/self contained
2: Jiko,seble na dining
3: Imewekewa umeme tayari
4: IPO kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 18X19
5: Kiwanja kipo barabarani (barabara ya Madale-Mbopo)
6: Eneo limepimwa na kuwekewa mawe/bicon..(file lipo ofisi za urasimishaji ktk hatua za mwisho za kupata HATI)
7: Mwenye kuuza nyumba ni Mimi mwenyewe(mumiliki wa eneo).
8: Sababu za kuuza: Naamia mji mwingine/mkoa mwingine).
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba hii..+255784355775 - Mr Mbungi)
NOTE : KWA WANUNUZI SERIOUS TU, SIHITAJI DALALI*
Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha
Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea MBOPO (Njia panda ya Msumi-Mbezi).
Bei ni dola $21,000 au Milioni 48 za kitanzania )..(Maongezi kidogo yapo.
Mwenye kuhitaji specification zake:👇👇
1: Ina vyumba 3 ambapo 2 ni master/self contained
2: Jiko,seble na dining
3: Imewekewa umeme tayari
4: IPO kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 18X19
5: Kiwanja kipo barabarani (barabara ya Madale-Mbopo)
6: Eneo limepimwa na kuwekewa mawe/bicon..(file lipo ofisi za urasimishaji ktk hatua za mwisho za kupata HATI)
7: Mwenye kuuza nyumba ni Mimi mwenyewe(mumiliki wa eneo).
8: Sababu za kuuza: Naamia mji mwingine/mkoa mwingine).
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba hii..+255784355775 - Mr Mbungi)
NOTE : KWA WANUNUZI SERIOUS TU, SIHITAJI DALALI*