Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma...
Habari wadau, natafuta projector nzuri yenye uwezo wa kuonyesha mchana (Heavy duty) ambayo itatumika kwenye kuonyeshea video records, naomba mnisaidie wapi naweza pata (machimbo) 0764714801 Asante.
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Rejea hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/karibu-umalizie-nyumba-kwa-mkataba-kisha-uhamie-nahama-kikazi.2306587/
Nimeamua kuiuza.
Mwenye Mil 20 chap aje nimpatie.
Ni yangu mwenyewe.
Nyumba...
Ni zile bulb, ambazo umeme ukikata Bado zinaendelea kuwaka.
Zipo za Watt 9 na watt 20.
Za watt 9 tsh 12,000/=
Za watt 20 tsh 14,000/= wakazi wa Dar nakuletea hadi mahali ulipo, Mikoani nakutumia...
Frem ipo Mwanza Mjini mtaa wa Uhuru Dampo.. karibu kabisa na stand ya dampo.
Ukubwa mita 3 kwa 2.5
Unaweza kuitumia kwa matumizi ya biashara au kutunzia mizigo.
Haina dalali, piga simu: 0681439977
Attention Property/Plot Owners!
We are in search of a plot to buy in the heart of Dar es Salaam. The plot should be between Ali Hassan Mwinyi road to New Bagamoyo road(up to Mwenge), Mwai kibaki...
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza...
House For Sale.
Location: Msasani Near Dar Villa, Misitu St.
Features: 1 storey, 4 bedrooms, 4 bathrooms, public toilets, Kitchen, Laundry, Dining, Sitting, Store, water tank, and servant's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.