Habari zenu wakuu
Baada ya kuwa msomaji wa thread za Jf kwa muda mrefu hatimae nimekuwa member rasmi, naomba mnipokee wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau, mimi ni kijana wenu nimejiunga Jukwaani tusongeshe gurudum la maisha kwa kujadilia mambo tofauti kulingana na maisha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nailifanya mapenzi na msichana mmoja ambae kwa hapa mtaani kwetu inasemekana ameathirika. Na kibaya zaidi huyo msichana atumii dozi(ARV). Na katika kufanya nae mapenzi sikutumia kinga. Yapata...
Habari wana-Jamii Forums Naitwa Fatma.
Nipo hapa kwa ajili ya kujifunza na kujadili mambo mbali mbali yanahusu fedha, uwekezaji na uchumi. Mbali na hilo napendelea pia mijadala inayohusu maswala...
Ni matumaini yangu mko salama na wenye afya tele na wale ambao tupo kwenye mitihani ya maradhi basi Mungu atufanyie wepesi.
Ndugu yenu kaktika kujenga fikra nimejiunga nanyi, tuwe pamoja.
Sent...
Habari zenu wakuuuu, poleni na majukumu ya hap na pale na poleni kwa janga/majanga (....CORONA....) Yanaiyoikumba dunia kwa ujumlaaa.... Mimi ni mgeni naomba nikaribishwe jamiii yen
Sent using...
Awali ya yote nashukuru kukubaliwa kuunganishwa hapa, nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali za wanaJF kwa muda mrefu.
Nimeelimika na mengi, pia nimekuwa nikiburudika na mengi kupitia JF.
Nimeona...