Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
HODI, Naitwa D Felix Member Mpya Kbx so Naiman Ntajuzwa na Kuelekezwa Meng Mengineyo.
1 Reactions
4 Replies
740 Views
Hodi wadau wa Jamii forums, I hope mko poa, kwa mda mrefu nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali hapa jf bila kupewa access ya kupost au kuchangia jambo lolote japokuwa nimejiunga jf mda mrefu...
0 Reactions
3 Replies
967 Views
Habari zenu waungwana, Mimi mgeni humu japo sio mgeni sana. Nimekuwa nikisoma na kupitia mijadala mbali mbali lakini suala la kuchangia mijadala mbalimbali ndio limenivuta kufungua ID rasmi...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Utambulisho Mimi mgeni humu.
1 Reactions
6 Replies
870 Views
Hope you doing good It'my first time to be in jf !!!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarn wana jf.... N Mda Sasa Tangu Nmeanza Kusoma Thread Mbalimbali Humu Ndani Na Nmejfunza Mengi Leo Nmeamua Nijitokeze Kabisa Yaaan..... #plutorepublic
1 Reactions
5 Replies
917 Views
Habari ndugu na jamaa katika Platform hii ya JamiiForums nafurahi kuwa sehemu ya Jamii hii kubwa. Nina miaka 23 ni mwanafunzi wa sayansi ya Afya mazingira. Natumai tutashirikiana kikamilifu.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu zangu Mimi ni mgeni ,naomba mnipokee . Ahsante
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums. Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date. Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to...
13 Reactions
40 Replies
5K Views
Mimi ni Mwanachama mpya JF natanguliza shukurani zangu kwa nyote mtakao shirikiana na Mimi mahali hapa.
2 Reactions
5 Replies
956 Views
Kama ilivyo mimi ni mgeni mwenyezi humu ndani. Kama ilivyo kawaida yangu kila nikibadisha cheo hapo JF hua nakuja kujitambua tena. Hivyo nilichelewa kujitambulisha ila JF mwenzangu kaniambia...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Umri: 28 Kazi: bodabodA Najisikia furaha kuwa nanyi hapa jukwaani #tulijenge taifa kwa pa1 kwa hoja zenye Manufaa
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kitambo sana mitaa hii ya JF..mwanangu Gang chomba yupo bado?mtu mzima Kiranga?miaka kama kumi hivi aisee!dah
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa, mi ni mtu mwanaume, ni raia mwema wa Tanzania ni mgeni katika mtandao huu naomba nitambulishe uwepo wangu hapa, Ahsanteni sana!
0 Reactions
6 Replies
959 Views
Hello! Habari zenu mm ni mwanachama mpyaaa katika hii blog,naomba ushirikianoo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc. Naomba kuwasilisha.
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Mgeni mgeni wapendwa naomba kupokelewa. Japo siyo mgeni JF nimeanza kusoma post miaka 8 au zaidi iliyopita ila sasa nimeamua nijiunge rasmi.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninaujuzi wa ict pamoja na mjasiriamali naomba ushirikiano wenu
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nihitaji kuwa mwanachama wa JF tatizo linapo kuja namna ya kuchangia mada za watu au kutoa maoni kwangu inakuwa shida sehemu ya kuandia sipaoni wenyeji msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
847 Views
Niaje wakuu mimi mgeni humu,naomba ushirikiano
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…