Hodi wadau wa Jamii forums, I hope mko poa, kwa mda mrefu nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali hapa jf bila kupewa access ya kupost au kuchangia jambo lolote japokuwa nimejiunga jf mda mrefu...
Habari zenu waungwana, Mimi mgeni humu japo sio mgeni sana. Nimekuwa nikisoma na kupitia mijadala mbali mbali lakini suala la kuchangia mijadala mbalimbali ndio limenivuta kufungua ID rasmi...
Habarn wana jf....
N Mda Sasa Tangu Nmeanza Kusoma Thread Mbalimbali Humu Ndani Na Nmejfunza Mengi Leo Nmeamua Nijitokeze Kabisa Yaaan.....
#plutorepublic
Habari ndugu na jamaa katika Platform hii ya JamiiForums nafurahi kuwa sehemu ya Jamii hii kubwa. Nina miaka 23 ni mwanafunzi wa sayansi ya Afya mazingira.
Natumai tutashirikiana kikamilifu.
Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums.
Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date.
Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to...
Kama ilivyo mimi ni mgeni mwenyezi humu ndani.
Kama ilivyo kawaida yangu kila nikibadisha cheo hapo JF hua nakuja kujitambua tena.
Hivyo nilichelewa kujitambulisha ila JF mwenzangu kaniambia...
Habari zenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc.
Naomba kuwasilisha.
Nihitaji kuwa mwanachama wa JF tatizo linapo kuja namna ya kuchangia mada za watu au kutoa maoni kwangu inakuwa shida sehemu ya kuandia sipaoni wenyeji msaada wenu