Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habari za muda Wana JF Mimi ni member mpya. Hodiiii... #
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hello I am he new member
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Itifaki imezingatiwa. Jina langu ni Festiledi, kwa mara ya kwanza nimeamua kwa utashi wangu mwenyewe kua mwanachama kindakindaki wa Jamii...
2 Reactions
5 Replies
932 Views
Habari wadau wa jamii forums leo nimejiunga rasmi naomba mnipoke Nafanya kazi za graphics design, natengeneza computer laptop natengeneza logo, calender, poster za mitandaoni, busines card, card...
2 Reactions
8 Replies
848 Views
Hellow,hellow! Nimekuja,nipokeeni
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe JF. Asanteni sana
1 Reactions
2 Replies
957 Views
How to get started
0 Reactions
3 Replies
864 Views
Hodi humu jf napenda kujumuika nanyi katika kujadili masuala tofauti tofauti yanayoizunguka jamii yetu, Asanteni
0 Reactions
3 Replies
737 Views
Naitwa immanuel Mosha, mkazi wa Kilimanjaro kwasasa Niko Dar salaam, ni mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu, (Bachelor degree in social Work and sociology) .Nimekua nikifuatilia JF kupitia ukurasa wa...
12 Reactions
36 Replies
3K Views
Natumai kwa neema ya Mungu nyote mu wazima. Nimekuwa msomaji wa JF kwa miaka 4 sasa bila kujiunga. Leo nimeamua kujiunga ili noweze kuchangia mawazo yangu na uelewa wangu kwenye mada mbalimbali...
3 Reactions
3 Replies
913 Views
Kuna baadhi ya vitu nahitaji kufundishwa
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau wa jamii forums leo nimejiunga rasmi naomba mnipoke Nafanya Ellectrical installation majumbani, viwandani, maofisin n.k
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Naitwa ALEX MILANZI Mimi Ni member mpya NAOMBA mnipokee na mnipende pia na Kama ninakosea mnionye kwa upendo japo malengo sio kukosea
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Hi, am happy to join you in this platform... Brother White...
0 Reactions
5 Replies
919 Views
Salama wana Jamii Forums...kwa miaka mitano nimekuwa napita humu kimyakimya nakula nondo za maana ubongo unashiba....mwaka huu nimeona ni vema nami niwe mwanachama hai...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Utambulisho Habarini wakuu, kama title inavyojieleza hapo juu Mimi naitwa Mr Zed ni Member mpya hapa JF, Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kutupa uhai hadi sasa tunapoelekea...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
We live for what And We die for what
1 Reactions
4 Replies
654 Views
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatul. Habari ndugu zangu wana jamii forum,Kwa majina naitwa Omary Athumani..ni kijana mpya katika platform hii,ndugu zangu naomba mpitie chapisho langu na...
1 Reactions
4 Replies
792 Views
Aisee wadau mi napitaga njia tu na kuwaona kwa mbali,napitaga haraka haraka toka mwaka 2015, ila leo nimeamua nikaribie humu ndani nione kunani.
0 Reactions
6 Replies
800 Views
Habari zenu wana JF wote, mimi ni new member, japo nilikuwa na peruzi bila kujisajiri, Natumai nitapata mengi ya kujifunza na kuchangia pia pale inapobidi. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…