Hodii mpaka ndani. JamiiForums ilikua inanisaidiaga sana nikitaka kujua vitu vya mjini mijini nadhani mnaelewa. Yani hii website ni kama google flani ivi lakini ya Kiswahili🦦
Mimi ni mwanafunzi...
Heloow wakuu ndugu zangu.. ni mda mref sana... Najua weng mnajiuliza mwaamba mbona haonekan.. ila ndo hvyo dunia ina mengi hii jaman . Furukuta furukuta waapi..
Enewei.. watesi wangu najua...
Ni takribani miaka mingi, tangu nijulishwe habari za "Jamii Forum " na rafiki yangu nikiwa chuo japo muda wote huo, sikuwahi kuwa member wala kuwa na App ya jamvi hili. Japo nilikuwa mshiriki bubu...
Habari wakuu
Mimi ni mwenyeji JF najitambulisha tu kwaajili ya kufahamu wageni. JF ina majibu ya kila swali katika uhalisia wa maisha ya kitanzania/kiafrika.
JAMII FORUM>GOOGLE
Naitwa sir bangaler, ni mgeni humu ndani naombeni miongozo ya kutumia katika kuchangia na kujenga hoja, asante.
Sent from my SM-J106F using JamiiForums mobile app
Baada ya msomaji mgeni tangu 2014 kwa kuburudika na nyuzi za kula tunda kimasihara,mazingira hatarishi kufanya mapenzi na kadhalika.
Hatimaye Leo nimeamua kuwa member niliye hai kabisa naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.